PAYE
JF-Expert Member
- Jun 19, 2025
- 354
- 395
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akiwasili viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam na kupokelewa na mwenyeji wake Rais Samia Suluhu ambapo wanakutana kujadili mambo mbalimbali ya kiuchumi na maendeleo baina ya Tanzania na Uganda.
Rais Museveni yupo nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku moja ambapo marais hao wanatarajiwa kujadili mambo mbalimbali ya kiuchumi na maendeleo baina ya Tanzania na Uganda.
Yoweri Museveni akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Museveni yupo nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku moja ambapo marais hao wanatarajiwa kujadili mambo mbalimbali ya kiuchumi na maendeleo baina ya Tanzania na Uganda.
Yoweri Museveni akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam