Rais wa Uganda arudi shambani

Rais wa Uganda arudi shambani

amygdala

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
1,082
Reaction score
999

_92169903_musev3.jpg



Rais wa Uganda Yoweri Museveni amerudi shambani kwake ambapo atakuwa kwa kipindi cha juma moja akikuza kilimo mbali na kusimamia miradi ya serikali katika wilaya ya Lowero.
_92169906_muse2.jpg

Image caption Rais wa Uganda na msafara wake akielekea shambani
Msafara wa rais sasa utakuwa wa baiskeli kwa muda ambayo atatumia kuteka maji ili kunyunyizia mimea.
_92169910_muse1.jpg

Image caption Rais wa Uganda
Kulingana na msemaji wa serikali,Museveni tayari amekuwa akiwaonyesha wakaazi jinsi ya kupanda migomba na kahawa kwa kutumia chupa za plastiki ili kunyunyizia maji.
 
Kaguta haachi vituko, mpaka vitukuu vitamkuta akiwa rais. Uganda inabidi iitwe the Kingdom under the leadership of King Yoweri Kaguta Museveni.
Kwa sasa Museveni amekuwa rais wa Uganda kwa muda mrefu kuliko Nyerere alivyokuwa rais wa Tanzania.

Museveni ana miaka 30 ya urais sasa.January 2017 anafikisha miaka 31.

Nyerere ukichanganya tangu uhuru wa Tanganyika 1961 mpaka anastaafu urais wa Tanzania 1985 ni miaka 24.
 
Kwa sasa Museveni amekuwa rais wa Uganda kwa muda mrefu kuliko Nyerere alivyokuwa rais wa Tanzania.

Museveni ana miaka 30 ya urais sasa.January 2017 anafikisha miaka 31.

Nyerere ukichanganya tangu uhuru wa Tanganyika 1961 mpaka anastaafu urais wa Tanzania 1985 ni miaka 24.
Wanasema kile kiti kina joto lenye utamu wa ajabu, kukiacha ni shida. Hata hawa marais wetu baada ya miaka mitano wanapigana kufa na kupona warudi tena.
 
Wanasema kile kiti kina joto lenye utamu wa ajabu, kukiacha ni shida. Hata hawa marais wetu baada ya miaka mitano wanapigana kufa na kupona warudi tena.
Mzee wangu alienda kumsalimia Mwinyi baada ya Mwinyi kustaafu (mshua alikuwa appointee wa Mwinyi). Kufika nyumbani mshua anamtakia hali, Mwinyi akawa anamlalamikia anasema ukitoka kwenye urais tu unaingia kwenye maisha tofauti sana na ulivyozoea. Watu wanakusahau unakuwa unakosa zile shamrashamra za power. Ile inawatia jakamoyo sana.

Pia hawa wengine washaua na kutesa watu sana hivyo wanaona wakitoka madarakani watatupwa lupango.

We hebu fikiria Museveni astaafu urais halafu Kiiza Besigye awe rais. Patakalika hapo?

Kuna story moja ya Mugabe, baada ya Mugabe kushindwa urais, alikuwa tayari kuachia madaraka yaende upinzani. Wale ma top generals wake na watu wa security wakakataa, wakamwambia mzee wewe tulia tu kama matokeo ya uchaguzi sisi tutabadilisha tu.

Sababu ni kwamba wale watu wa security wameua sana na upinzani ungeshika madaraka wote wangefungwa. Kwa hiyo salama yao ilikuwa Mugabe aendelee kuwa rais.
 
Mzee wangu alienda kumsalimia Mwinyi baada ya Mwinyi kustaafu (mshua alikuwa appointee wa Mwinyi). Kufika nyumbani mshua anamtakia hali, Mwinyi akawa anamlalamikia anasema ukitoka kwenye urais tu unaingia kwenye maisha tofauti sana na ulivyozoea. Watu wanakusahau unakuwa unakosa zile shamrashamra za power. Ile inawatia jakamoyo sana.

Pia hawa wengine washaua na kutesa watu sana hivyo wanaona wakitoka madarakani watatupwa lupango.

We hebu fikiria Museveni astaafu urais halafu Kiiza Besigye awe rais. Patakalika hapo?

Kuna story moja ya Mugabe, baada ya Mugabe kushindwa urais, alikuwa tayari kuachia madaraka yaende upinzani. Wale ma top generals wake na watu wa security wakakataa, wakamwambia mzee wewe tulia tu kama matokeo ya uchaguzi sisi tutabadilisha tu.

Sababu ni kwamba wale watu wa security wameua sana na upinzani ungeshika madaraka wote wangefungwa. Kwa hiyo salama yao ilikuwa Mugabe aendelee kuwa rais.
No commenta mkuu you said it all.
 
Back
Top Bottom