Fatuma karume hajafunga ramadhani? naona hajavaa kiramadhani
Hivi unajua ulichoandika?Kama hujalaaniwa huwezi laani
Tusiwalaani bali tuwasamehe,na kuwaombea.Alaniwe alieagiza Lissu apigwe risasi yeye na kizazi chake.
Mbona umeleta makalio yako kuchangiaHabari kubwa kwa Vibendeara hapo sawa
Ni zaidi ya wachawi mkuu. Ni mumiani wanyonya damuKumjulia hali mgonjwa imekuwa noma ????? Lumumba yote imepata kichaa !!!!!!wanaweweseka mchana !!!! mara waulize mshahara Wake , mara wengine waje na hakuvaa kiramadhani kama vile wao ni Maustadhi, mara wengine hakumpelekea salamu ,
CCM NI GONJWA HATARI KULIKO EBOLA
NI HERI KUKUTANA NA WACHAWI WANAORUKA NA UNGO KULIKO KUKUTANA NA WACHAWI WANAOISHI LUMUMBA
Kuliko wote wanaojionyesha ni wema huku ni wabaguzi.Mungu ni Mwema
HA HA HA HAKwani Myahudi mweusi umekuwa ustadhi ???
Akili zako zinahitaji MaombiMbona umeleta makalio yako kuchangia