johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,003
- 142,027
Makamu mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Antipas Lissu amesema kama kweli Polisi wanamtaka Dereva wake kwa ajili ya ushahidi njia ya kumpata ni rahisi sana.
Adam (Dereva) anaishi Ubelgiji na alikuwa anahudumiwa na Serikali ya huko kwa kila Kitu ila sasa amesomea ufundi na ameajiriwa. So kama polisi wanamuhitaji wanaweza kuwatumia Interpol, au balozi zetu na Hata Mwanasheria Mkuu wa Serikali anaweza kuwasiliana na yule wa Ubelgiji ili amlete Adam kwa sababu ya Ushahidi wa jinai.
Chanzo: ITV
My take: Nadhani TAL amemaliza ubishi
Adam (Dereva) anaishi Ubelgiji na alikuwa anahudumiwa na Serikali ya huko kwa kila Kitu ila sasa amesomea ufundi na ameajiriwa. So kama polisi wanamuhitaji wanaweza kuwatumia Interpol, au balozi zetu na Hata Mwanasheria Mkuu wa Serikali anaweza kuwasiliana na yule wa Ubelgiji ili amlete Adam kwa sababu ya Ushahidi wa jinai.
Chanzo: ITV
My take: Nadhani TAL amemaliza ubishi