Kamuulize aliyesema TLS ni taasisi ya ummaNifute ujinga. Knowledge is power.
UwiiiMbowe halaaniki hovyo!
Nifute ujinga. Knowledge is power.
HahahahaPole kamanda....
Oh btw, za maandamano...? Teh teh teh
Kamuulize aliyesema TLS ni taasisi ya umma
Kaize LumumbaNani huyo?
Niliwahi sikia Ngabu unaishi sijui Ulaya au USA, hivi ni ulaya ipi hiyo ambayo wakazi wake wanafikiri kwa kutumia tumbo?
Nikitazama jinsi wanvyofikiri na wanavyochukulia wapinzani naweza kusema ni wote. Japo sio kweli kwamba ni wote lakini hawa wengi wanawakilisha kabila hilo. Kuanzia JPM, Bashite et alSasa HAPO wasukuma wanaingieje tena!!??
Mtu mmoja akikuudhi basi kabila zima limekuudhi. Si haki hata kidogo. By the way, hata huna uhakika kama ni msukuma.
Hawa hawana lolote.hata shetani ambaye ndiye boss wenu mkuu kuna wakati huwa ana utu kidogo lakin naona nyie mawakala wake mmezidisha ukatili hadi mmemzidi boss wenu ila uzuri mauti yana kila nafsi hata ile iliyo lindwa na mitutu kila upande wa dunia na woote kwa pamoja tunalazwa ardhin pamoja na tofauti zetu.
Ukiwemo wewe!Alaniwe alieagiza Lissu apigwe risasi yeye na kizazi chake.
Kiki hakina tenaKinachouma nyie wanafiki nini?
Habari kubwa kwa Vibendeara hapo sawaYeah,ni habari kubwa ndiyo maana imekutoa mbio toka chooni kuja kuchangia
Nikitazama jinsi wanvyofikiri na wanavyochukulia wapinzani naweza kusema ni wote. Japo sio kweli kwamba ni wote lakini hawa wengi wanawakilisha kabila hilo. Kuanzia JPM, Bashite et al