Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Wadau naomba kuuliza hivi kama Raisi wa nchi anahudhuria uzinduzi wa ubadilishwaji/uhuzwaji wa kampuni ya simu, Je ni zinduzi ngapi kama hizi atahuzuria kwa kipindi chote atakachokuwa madarakani?
Hofu yangu ni kuwa NIKIASI GANI ZAIN/AIRTEL WAMECHANGIA KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI CCM?
My take:
Kila kitu kinabei yake hapa TANZANIA.
President Jakaya Mrisho Kikwete together Airtel Tanzania Managing Director Sam Elangalloor
Hofu yangu ni kuwa NIKIASI GANI ZAIN/AIRTEL WAMECHANGIA KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI CCM?
My take:
Kila kitu kinabei yake hapa TANZANIA.
President Jakaya Mrisho Kikwete together Airtel Tanzania Managing Director Sam Elangalloor