kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 4,578
- 6,592
Labda first lady ni yule wa kwanza kuolewa, mengine atajua bwana namna ya kuwashirikisha.
nini maana ya Quest na tupe matumizi ya GuestHapa mtaani kuna mbaba miaka kama 60 anaingiza malaya kila siku ila ana familia mkuu unatska ni dhuhudie je mpaka niingie ndani, kwani guest ni duka kwamba kuna kazi nyingine zaidi.
hahahahaaaaUyo dogo nilijua na akili timamu kumbe zero brain
Umaskini haitaisha africa
jichunguze ww kwanza , umekuwa mtumwa wa tamaduni za kimagharibiNilikuwa namsapoti kumbe mjinga tu. Mpaka hapo ameshafeli tayari.
Kama alishindwa kuchagua mke mmoja atayaweza madaraka ya Urais?
jichunguze mkuu , ww unaona bora aoe mmoja hlf awe anachepuka si ndio ?Ndio mjue upinzani ni upuuzi
Mwanzo tu ashaanza sinema na maigizo
jichunguze vzr , hawa wenye malaya au huyo anaeweka ndani kbs kuepusha masingle mama wamaozaa panya roadHakuna malaya atafanya mageuzi ya kiuchumi iwe ngazi ya familia au Taifa
Kasome historia ya dunia watu walioishape dunia uone km waliwekeza kwa malaya
Wanawake wengi wanapunguza uwezo wa kufikiri
Uyo dogo bada ya miaka mitano atakuwa na wake zaidi ya sita
Muda wa kulitumikia Taifa utakuwa mdogo sana
ukute hizo akili zako yeye hana ila kwa hizi akili zenu anaweza shepiwa kuwa hivyoNa hivi wamegundua mafuta. Unachosema ni sahihi.
Nilikuwa namsapoti kumbe mjinga tu. Mpaka hapo ameshafeli tayari.
Kama alishindwa kuchagua mke mmoja atayaweza madaraka ya Urais?
Hebu tuelewesheni kidogo jamaniUyo dogo nilijua na akili timamu kumbe zero brain
Umaskini haitaisha africa
Mwinyi alishindwa?Nilikuwa namsapoti kumbe mjinga tu. Mpaka hapo ameshafeli tayari.
Kama alishindwa kuchagua mke mmoja atayaweza madaraka ya Urais?
Bill Clinton alikuwa anafanya ngono mpaka kwenye Oval Office!Mwinyi alishindwa?
Kuongoza ni kipaji, sidhani kama kinaweza kuathiriwa na factors kama hii ya kungonoka. Clinton aliweza, tumpe mda na huyu Msenegal.Bill Clinton alikuwa anafanya ngono mpaka kwenye Oval Office!
Na alikuwa anachiti. Na kachiti si na mwanamke mmoja tu. Ni wanawake wengi.
Na anatuhuma za kubaka pia.
Je, alishindwa kuiongoza Marekani?
Hakuna uhusiano wowote ule wa moja kwa moja kati ya tabia ya uasherati ya kiongozi au hali yake ya kindoa na uwezo wake wa kuongoza!
Yes, absolutely!Kuongoza ni kipaji, sidhani kama kinaweza kuathiriwa na factors kama hii ya kungonoka. Clinton aliweza, tumpe mda na huyu Msenegal.
Pia kwenye maisha ya kawaida mbona kuna wengi wana tabia mbovu lakini vipawa vyao vya akili bado viko imara.
kwa hiyo unapingana na imani yenu ya kiislamu?Nilikuwa namsapoti kumbe mjinga tu. Mpaka hapo ameshafeli tayari.
Kama alishindwa kuchagua mke mmoja atayaweza madaraka ya Urais?
Kafeli wapi tena ?.... Huenda Mila/dini imemruhusu kuoa wawili.Nilikuwa namsapoti kumbe mjinga tu. Mpaka hapo ameshafeli tayari.
Kama alishindwa kuchagua mke mmoja atayaweza madaraka ya Urais?