Suali langu kuu ni kwamba first lady ni office ya kikatiba sasa kwa hali kama hii Rais akiwa na wake wawili, watakuwa wanapokezana au kutakuwa na office mbili za first ladies, au mke mkubwa ndo atapewa cheo hicho?
Kijana mdogo miaka 44 ana wake wawili unakuta wanaume wazima miaka 60 kiongozi bado anazini tu na michepuko loh wanaume wa Tanzania wengi ni waoga wa maisha.
Kijana mdogo miaka 44 ana wake wawili unakuta wanaume wazima miaka 60 kiongozi bado anazini tu na michepuko loh wanaume wa Tanzania wengi ni waoga wa maisha.