Huyu rais wa Msumbiji nasikia elimu ya msingi ameipata hapa Tanzania, kwanini hatakikuongea Kiswahili?.
Anaongea lugha ya kwao tu, lakini viongozi wetu wanaongea kiingereza badala ya kiswahili.
Mgeni akija kwetu ningependa Rais wetu nae aongee kiswahili ili huyo mgeni aelewe kupitua mkalimani, sio kupiga makelele tu kuhamasisha kiswahili kwa Maneno, tunataka vitendo na kiongozi mkuu wa nchi Rais, yeye ndio awe mfano.
Anaongea lugha ya kwao tu, lakini viongozi wetu wanaongea kiingereza badala ya kiswahili.
Mgeni akija kwetu ningependa Rais wetu nae aongee kiswahili ili huyo mgeni aelewe kupitua mkalimani, sio kupiga makelele tu kuhamasisha kiswahili kwa Maneno, tunataka vitendo na kiongozi mkuu wa nchi Rais, yeye ndio awe mfano.