Rais wa Msumbiji kwanini haongei Kiswahili?

Rais wa Msumbiji kwanini haongei Kiswahili?

mnyama k

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2014
Posts
1,079
Reaction score
344
Huyu rais wa Msumbiji nasikia elimu ya msingi ameipata hapa Tanzania, kwanini hatakikuongea Kiswahili?.

Anaongea lugha ya kwao tu, lakini viongozi wetu wanaongea kiingereza badala ya kiswahili.

Mgeni akija kwetu ningependa Rais wetu nae aongee kiswahili ili huyo mgeni aelewe kupitua mkalimani, sio kupiga makelele tu kuhamasisha kiswahili kwa Maneno, tunataka vitendo na kiongozi mkuu wa nchi Rais, yeye ndio awe mfano.
 
Sasa ze ze atamke nani..........?........we wacha tupasue yai bana.......

Hahaha ushamba tu, watu wanakuja kwetu alafu wanaongea lugha zakwao hawana time na kingereza, sisi tumekazania kingereza uchwara, aibusana.
 
Huyu rais wa msumbiji nasikia elimu ya msingi ameipata hapa tanzania, kwanini hatakikuongea kiswahili?.

Anaongea lugha ya kwao tu, lakini viongoziwetu wanaongea kiingereza badala ya kiswahili.

Mgeni akijakwetu ningependa rais wetu nae aongee kiswahili ilihuyomgeni aelewekupitua mkalimani, siokupiga makelele tu kuhamasisha kiswahili kwa Maneno, tunataka vitendo na kiongozi mkuu wa nchi rais, yeye ndio awe mfano.
Hata mimi nilishangaa sana pale rais wetu badala ya kutumia lugha ya taifa kumkaribisha mgeni rais wa Msumbiji alitumia eti likiingereza! Nilijisikia aibu kidogo.Yeye rais wa Msumbiji hakuwa na jukumu la kutumia kiswahili maana lugha hii si lugha ya Msumbiji na ndio maana alitumia kireno.Huenda kwa kutuheshimu, akatumia kiswahili atakapohutubia bunge 19/5/2015
 
Hahaha ushamba tu, watu wanakuja kwetu alafu wanaongea lugha zakwao hawana time na kingereza, sisi tumekazania kingereza uchwara, aibusana.

Zosi pipo donti no.........English is gudi lukin langueji.........
 
Zosi pipo donti no.........English is gudi lukin langueji.........

Viongizi wetu wanatutia aibu, tunakosa heshima hata kwenye mambo madogo madogo sana, yani mgeni anajiachia na lughayake nyumbani kwetu, sisi tuna ng'ang'ania lugha za watu wengine ambazo pia hatuziwezi vizuri utadhani hatuna lugha yetu.
 
Nilijisikia vibaya sana juzi my prezidaa kazungumza kingereza
Sijapenda kwa kweli acha tu niwe mkweli kwa hili
 
Viongizi wetu wanatutia aibu, tunakosa heshima hata kwenye mambo madogo madogo sana, yani mgeni anajiachia na lughayake nyumbani kwetu, sisi tuna ng'ang'ania lugha za watu wengine ambazo pia hatuziwezi vizuri utadhani hatuna lugha yetu.

Licha ya viongozi........sisi wenyewe mtu akichapia kingereza utadhani kaua......jinsi anavyoshambuliwa...........waTanzania ni watu wa ajabu sana.........nimeamua kuwaacha kama walivyo...........
 
Nilijisikia vibaya sana juzi my prezidaa kazungumza kingereza
Sijapenda kwa kweli acha tu niwe mkweli kwa hili

Sijui kingereza na wala sikielewi lakini nilikua napenda sana kumsikiliza Mkapa akikitafuna.........jamaa ni sheeeder........
 
Jana nimeuona TBC katika habari akiongea kiswahili vizuri kabisa na akiomba nchi iwe na amani kwa maendeleo ya uchumi na akaomba chama kitachoshindwa katika uchaguzi kikubali matokeo.
 
Sera mpya ya elimu iliyopitishwa na serikali ya ccm lugha ya kufundishia kiswahili mwanzo mwisho
 
tatizo ni kutokukubali vya kwetu alafu hapohapo tunadai mitaala iwe kwa kiswahili hii october na ifike mapema maana tumechoka
 
Sijui kingereza na wala sikielewi lakini nilikua napenda sana kumsikiliza Mkapa akikitafuna.........jamaa ni sheeeder........

Preta, Mkapa nihabari nyingine katika mayai !.
 
Jana nimeuona TBC katika habari akiongea kiswahili vizuri kabisa na akiomba nchi iwe na amani kwa maendeleo ya uchumi na akaomba chama kitachoshindwa katika uchaguzi kikubali matokeo.

Anaongea kiswahili tena vizuri mno ila kwenye maeneo official anatumia lugha za nje sababu ujumbe alioongozana nao hawajui kiswahili pia kule chuo cha diplomasia hakutumia kiswahili sababu kile chuo ni cha kimataifa kina wanafunzi toka mataifa mbali mbali duniani.Lakini akiwa bnje anaongea kiswahili na kimakonde tu
 
Huyu raisi anaongea kiswahili vizuri sana, sasa sijui anap-romote kireno?!!
 
Hahaha ushamba tu, watu wanakuja kwetu alafu wanaongea lugha zakwao hawana time na kingereza, sisi tumekazania kingereza uchwara, aibusana.

Lengo ni kuwaplease mabwana wakubwa,wanatoa misaada sana kwa hiyo viongozi wanyonge wa kiafrika hawana cha kufanya zaidi ya kuhutubu kwa kiingereza. Ni jambo linalosikitisha kwa kweli.
 
Hahaha ushamba tu, watu wanakuja kwetu alafu wanaongea lugha zakwao hawana time na kingereza, sisi tumekazania kingereza uchwara, aibusana.

hata huyo wa msumbizi kireno si lugha yake. usimlaumu JK tu....huyo wa nchumbiji naye alipaswa kugona kimakonde and the like
 
Back
Top Bottom