robert deusi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2014
- 399
- 69
Haya mambo kwa mimi binafsi nakerwa mno tena mno nimeangalia wageni wote wakija hapa ni kugonga lugha zao tu lakini hyu wa kwetu anang'ang'ania kiingereza tu cha nn? Kwa nini asioneshe uzalendo?
Haya mambo kwa mimi binafsi nakerwa mno tena mno nimeangalia wageni wote wakija hapa ni kugonga lugha zao tu lakini hyu wa kwetu anang'ang'ania kiingereza tu cha nn? Kwa nini asioneshe uzalendo?
pooocha voces tanzanianos sao confusos de mais...................gostam maning de reclamar....pooorah pah isso nao tem nada ver, a nossa língua oficial é portugues cara,tem que saber.
kweli hata mimi nilimsikia. ni mswahili kabisaJana nimeuona TBC katika habari akiongea kiswahili vizuri kabisa na akiomba nchi iwe na amani kwa maendeleo ya uchumi na akaomba chama kitachoshindwa katika uchaguzi kikubali matokeo.
ha ha ha ha pole usimaindi. Title inasema rais wa msumbiji haongei kiswahili. Labda ungendika kwanini viongozi hawaongei kiswahili. Then inside ukatoa mfano Rais wa msumbiji alivyozungumza kireno badala ya English. Sioni connection ya kusema kwani hakuzungumza kiswahili. Ndiyo kiswahili anakifahamu lakini pale palikuwa na delegates wengi wnaaongea kireno na yeye lugha ya taifa ni kireno. Title na content havina ushirikiano.Soma comments za watu wengine humu utaelewa nilichokuwa na maanisha.
ha ha ha ha pole usimaindi. Title inasema rais wa msumbiji haongei kiswahili. Labda ungendika kwanini viongozi hawaongei kiswahili. Then inside ukatoa mfano Rais wa msumbiji alivyozungumza kireno badala ya English. Sioni connection ya kusema kwani hakuzungumza kiswahili. Ndiyo kiswahili anakifahamu lakini pale palikuwa na delegates wengi wnaaongea kireno na yeye lugha ya taifa ni kireno. Title na content havina ushirikiano.
Ila next time nyosha sentensi:becky:"( Ndio kiswahili anakifahamu lakini pale palikuwa na delegates wengi wanaoongea kireno na yeye lugha ya taifa ni kireno".)
Sentence hiyo hapo juu ulio andika ndicho hasa, ulicho takiwa kuandika mwanzo. Asante kiongizi kwa kunielewa.
Protokol haimruhusu kuongea kiswahili, mfano ni Kansela wa Ujerumani, mama amesoma Urusi, mpaka Ph.D katika physics, lakini akikutana na Putin, anaongea kijerumani. Na Putin, pia amekaa na kufanya kazi ujerumani kama jasusi, na anaongea kijerumani bila tatizo, lakini akikutana na viongozi wa ujerumani, anaongea nao kirusi