GAS YA MSIMBATI
Member
- Mar 5, 2017
- 44
- 62
Mbona kimya kimyaMapokezi mazuri, Hopeful watakuwa na mazungumzo mazuri. Vizuri sana Viongozi wa Nchi mbili kubwa sana wanakutana na kuongea.
Huyu President Sisi hana ujinga, yeye anaheshimu nchi zote za Africa, Siyo Kama Morsi na Mubarak. Things will get better under his leadership, relationship between many African countries and Egypt will improve.
Tutamuomba atujengee kiwanja cha mpira, na kukarabati madarasa mawili shule ya msingi mbuyuninaona tbc wako live, huyo abdel fatah sioni kama anaimpact kwenye matokeo chanya ya uchumi wa viwanda unaozungumziwaga tanganyika
Fatah Al Sisi, Kagame na Erdogan wa Turkey.
They have something in common!
They are all heads of state in their respective countries.What is it that they have in common?
Dr Chein ni wa wapi huyo?Namuona Dr Shein akijumuika kumpokea Rais wa Misri.
Jamani, yaani mizinga yote hiyo!? Si tulisema tuishi bila kutegemea mizinga au..!Hivi nae tutampiga mzinga wa nini,
Wa morocco tulimpiga mzinga wa kiwanja Dom
Wa afrika kusini tulimpiga mzinga wa treni ya kisasa,
Wa uturuki nae tulipiga,
Bill gate tayari
Bado huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio mwenyewe....Hivi al-Sisi ndiye yule alipindua raisi aliyechaguliwa kihalali na kila uchwao anawahukumu kifo wapinzani wake pamoja na kuwafunga?
They are all heads of state in their respective countries.
Unapotoa maoni uangalie na kesho mara mkanda Leo udini stupidity perception in your mindset!!Huyu Elsisi ni dini gani vile? Magufuli yupo very selective kupokea maRais wanaokuja Tanzania , karibu Tanzania Alsisi ulompindua Rais wa Muslim Brotherhood.
What are those other; if I may know?Yes, you are right there. But i was hoping you will tell me of others substantial things they have in common.
Bill alipigiwa mzinga wa nini?Hivi nae tutampiga mzinga wa nini,
Wa morocco tulimpiga mzinga wa kiwanja Dom
Wa afrika kusini tulimpiga mzinga wa treni ya kisasa,
Wa uturuki nae tulipiga,
Bill gate tayari
Bado huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
What are those other; if I may know?
Why? Wenyewe ndio wanategemea lake Victoria.I hope hataongelea maji ya ziwa Victoria
Ya Watanzania tuachie wenyewe. Malizaneni na kizungumkuti cha uchaguzi huko kwenu.naona tbc wako live, huyo abdel fatah sioni kama anaimpact kwenye matokeo chanya ya uchumi wa viwanda unaozungumziwaga tanganyika