Rais wa Marekani Donald Trump awaonya tena Hamas

Rais wa Marekani Donald Trump awaonya tena Hamas

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,164
Reaction score
7,702
Rais wa Marekani Donald Trump ameonya kikundi cha Hamas kwamba kama wataendelea kwenda kinyume na mkubaliano basi ataruhusu IDF irudi tena kufanya mashambulizi


 
Hahaha hamas wana tafuta maiti za mateka wao hawazioni wamechanganyikiwa, na deal linataka kuwalipukia usoni sasa.

Wanapitia wakati mgumu sana kutekeleza mkataba wa kusitisha mapigano, na wasipotekeleza wana pigwa.

Wameokota maiti zingine zimekataliwa.
 
Tunajua huu ni mchezo siku zote hakuna mkataba na kafiri, Hamas walibet Sana kuachia mateka wote Kwa pamoja hao jamaa ni janja janja hawaaminiki, Kama waliwashambulia viongozi ambao wanajadili ceasefire iweje muwaamini? Sasa hii itakua vita ngumu kweli kweli lakini hawawezi kupata ushindi ila itakua pasua Kwa hamas kichwa kwasababu hawana leverage
 
Tunajua huu ni mchezo siku zote hakuna mkataba na kafiri, Hamas walibet Sana kuachia mateka wote Kwa pamoja hao jamaa ni janja janja hawaaminiki, Kama waliwashambulia viongozi ambao wanajadili ceasefire iweje muwaamini? Sasa hii itakua vita ngumu kweli kweli lakini hawawezi kupata ushindi ila itakua pasua Kwa hamas kichwa kwasababu hawana leverage
Kwa Hamas ndiyo basi tena hawana jipya kipigo walichokipata ndicho kilicho wasababisha wawaachie mateka wote maana kipigo hicho kilikuwa hakivumiliki hata kidogo.
 
Kwa Hamas ndiyo basi tena hawana jipya kipigo walichokipata ndicho kilicho wasababisha wawaachie mateka wote maana kipigo hicho kilikuwa hakivumiliki hata kidogo.
Huwezi kumshinda Hamas Hata upigane miaka 20 mfululizo, na Trump kasema amewapa kila aina ya silaha lakini tunnel zote Bado zipo na zitarekebishwa upya kwaajili ya ngwe ijayo Hamas Bado wapo na Wana silaha na hazitaisha kubali ukatae Hamas huwezi kumfuta Kuna siku nilikwambia hapa hapa mateka watarudi Kwa makaratasi na vita itaisha Kwa makaratasi sio Kwa mabomu. Msamiati wa kusarenda wanao makafiri ila sio watu w imani
 
Huwezi kumshinda Hamas Hata upigane miaka 20 mfululizo, na Trump kasema amewapa kila aina ya silaha lakini tunnel zote Bado zipo na zitarekebishwa upya kwaajili ya ngwe ijayo Hamas Bado wapo na Wana silaha na hazitaisha kubali ukatae Hamas huwezi kumfuta Kuna siku nilikwambia hapa hapa mateka watarudi Kwa makaratasi na vita itaisha Kwa makaratasi sio Kwa mabomu. Msamiati wa kusarenda wanao makafiri ila sio watu w imani
Hata kwa Magaidi wa Hezboullah mlikuwa mnawaramba matako hovihovi lakini sasa mmenyamaza kimya kama hamuwajuo vile!!
 
Acha wanyukane hadi tupate mtemi ndio utulivu utapatikana...
 
Huwezi kumshinda Hamas Hata upigane miaka 20 mfululizo, na Trump kasema amewapa kila aina ya silaha lakini tunnel zote Bado zipo na zitarekebishwa upya kwaajili ya ngwe ijayo Hamas Bado wapo na Wana silaha na hazitaisha kubali ukatae Hamas huwezi kumfuta Kuna siku nilikwambia hapa hapa mateka watarudi Kwa makaratasi na vita itaisha Kwa makaratasi sio Kwa mabomu. Msamiati wa kusarenda wanao makafiri ila sio watu w imani
Hahaha wakiwashiwa moto mnaanza free Palestine na hapa unakiri Kuna tunnels
 
Back
Top Bottom