Rais wa jf

Haa haaa haaa Jemedari mbona cheo kikubwa halafu Rais mnambadolisha sio ****** tena !?...Coz akiwa ****** na cheo changu ni fulu mamlaka hata kama nagawa pombe haaaa haaa haaa haaa
bado rais hajapatikana
 
nishakwambia ejea ansard uk wa 2
maids wangu wasipewe kazi zingine
hasa body guard
mkimchukua huyo nateka ikulu
nilishasema hakuna kubadili wizara
 
Dah!!! Kesi itupilie mbali kabisa...tupa kulee.....Halafu yaani...yaani hata sielewi...hivi Preta mitaa ya kwako hajapita leo au ndio amekuwa mchoyo ghafla
 
mkwe umesahau mahari ilikuwa dec nasubiri naona inayoyoma sijui ndio kutemwa mchan kweupe

Hahahaha, mkwe mahari labda nimkopeshe mhusika. Hawezi lipa baadae kidogo mkishachuma vijicent pamoja?
 
yaani kuangalia kote umekosa nafasi yakunichomeka mimi swahiba wako nifikirie kumbuka tumesoma wote. Nitarudi baadae kidogo
Mi nadhani kwenye kupokea wageni una uzoefu kaka....hahahahaaaaaa
Excelent mpe wizara ya mapokezi NITONYE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…