Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,099
Toka 2015 hajawahi kukanyaga Rais toka Ulaya na Marekani why?
Fuatilia. Hiyo nchi inakimbizana na nchi za ulaya kwa ubora wa maisha ya watuUkiwa maskini alafu rafiki zako nao ni maskini, ni ngumu sn kutoboa
Afrika nzima akiri yetu ni moja!..wanaweza kuwa na hoja.
..kwa mfano, ni nchi ngapi za Afrika zimewahi kutukopesha fedha za miradi ya maendeleo?
..chukulia miradi ya kimkakati ya SGR na bwawa la umeme, je fedha za miradi hiyo tumezikopa toka Wazungu, yaani Ulaya na Marekani, au tumekopa kwa Waafrika?
Mbona hawaendi DodomaPresident Mokgweetsi Masisi will undertake a Working Visit to Dar es Salaam, Tanzania tomorrow, June 10 2021 and return on Friday.
"His Excellency the President will meet with his counterpart, Her Excellency Mrs. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, to among others discuss ways of broadening the scope of bilateral cooperation between their two countries. The Heads of State will also deliberate on the political and security situation in the SADC Region," statement from Office of the President.
======
Rais wa Jamhuri ya Botswana, Mokgweetsi Masisi anatarajia kuwa na ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania, kuanzia kesho Juni 10, 2021 kwa mwaliko wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Juni 9, 2021 amesema Rais Masisi atawasili nchini kesho asubuhi na baada ya hapo atakuwa na mazungumzo ya mwenyeji wake Ikulu Jijini Dar es Salaam.
"Viongozi wetu wanatarajia kuzungumzia masuala ya ushirikiano kati ya nchi zetu mbili, uhusiano wa kidiplomasia, matumizi ya lugha ya Kiswahili nchini Botswana, bishara na uchumi pamoja na namna ya kuimarisha zaidi Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)," amesema.
Balozi Mulamula amesema Rais Masisi ataondoka nchini Ijumaa Juni 11, 2021 baada ya kutembelea kituo kimoja wapo cha biashara hapa nchini (ambacho hakukitaja)
Saivi yeye ni Rais wewe ni PHD holderTumekula naye sana vibombo aka kongoro tukiwa masomoni zambia miaka ya 90
Afrika nzima akiri yetu ni moja!
Kwamba mzungu ndio atakaetuletea maendeleo. Hatuwazi kujitegemea ndio sababu unaona kuna wanasiasa lazima tu waende wakajipendekeze huko.
Wao walipoanza hawakuwa na pa kukopa waliumiza vichwa ni vipi wanatatua changamoto walizonazo. Sie hapa ukiwa na chamgamoto cha kwanza unawaza kwa mzungu.
Hatutatoka kwa namna hii.
Ina nunuliwa ili kuleta ufanisi wa kibishara na hatimaye mjitegemee! Ila kwakuwa akili za ombaomba bado zimewajaa utakuta mijitu inakejeli inataka ijaziwe hela mifukoni..na midege pia tunanunua kwa wazungu tena kwa fedha taslim.
Ina nunuliwa ili kuleta ufanisi wa kibishara na hatimaye mjitegemee! Ila kwakuwa akili za ombaomba bado zimewajaa utakuta mijitu inakejeli inataka ijaziwe hela mifukoni
Ni Rais mgeni sana madarakani.Nikisema simjui huyu rais Masisi ni wa nchi gani mtaniona nipo shallow. Bora ninyamaze tu.
Kila jamii zina namna ya kutamka matamshi kutokana na lugha zao zilivyo.Hivi ni kweli huo mji mkuu wa Botswana Gaborone unatamkika Gabohone. Yani na sisi waafrika kwa Swagger tunawaiga mabeberu kwa mabeberu ufaransa na ujerumani W ni Z mfano Wenger Venger, Former Yugoslavia c ni ch mfano papic inatamkwa papich. Scandinavian ni Y mfano Jana Yana). Sweden A ni O mfano Adam Odom.
Marais wanaume mbona wanazidi kuitembelea tz?President Mokgweetsi Masisi will undertake a Working Visit to Dar es Salaam, Tanzania tomorrow, June 10 2021 and return on Friday.
"His Excellency the President will meet with his counterpart, Her Excellency Mrs. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, to among others discuss ways of broadening the scope of bilateral cooperation between their two countries. The Heads of State will also deliberate on the political and security situation in the SADC Region," statement from Office of the President.
======
Rais wa Jamhuri ya Botswana, Mokgweetsi Masisi anatarajia kuwa na ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania, kuanzia kesho Juni 10, 2021 kwa mwaliko wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Juni 9, 2021 amesema Rais Masisi atawasili nchini kesho asubuhi na baada ya hapo atakuwa na mazungumzo ya mwenyeji wake Ikulu Jijini Dar es Salaam.
"Viongozi wetu wanatarajia kuzungumzia masuala ya ushirikiano kati ya nchi zetu mbili, uhusiano wa kidiplomasia, matumizi ya lugha ya Kiswahili nchini Botswana, bishara na uchumi pamoja na namna ya kuimarisha zaidi Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)," amesema.
Balozi Mulamula amesema Rais Masisi ataondoka nchini Ijumaa Juni 11, 2021 baada ya kutembelea kituo kimoja wapo cha biashara hapa nchini (ambacho hakukitaja).
Ni ujinga wetu tu waafrika.Toka 2015 hajawahi kukanyaga Rais toka Ulaya na Marekani why?
Uliiona hiyo 10% wakiweka mfukoni?..kwenye ununuzi wa midege kuna 10% ya kujaza kwenye mifuko ya wakubwa.
..nyinyi mna akili za ajabu sana. wenzenu wananua midege wakati nchi zao zinajitegemea.
..Watz hata kusomesha watoto tunakopa kwa mabeberu, halafu tunakwenda kununua midege.
Tulikuwa na dikteta jiwe. Sasa kwasabb kafa, watakuja.Toka 2015 hajawahi kukanyaga Rais toka Ulaya na Marekani why?
Okey mkuuHuyu Masisi wa Botswana, nafikiri kaja specifically kwa kuwa sasa ndio SADC Chairman, na kaona angalau Rais Samia anaonekana anataka kurudisha diplomasia na nchi zingine...
Ndio Mkuu.Saivi yeye ni Rais wewe ni PHD holder
IRais wa Botswana aliyeshinda uchaguzi kutoka chama cha UPINZANI anakutana na rais aliyeachiwa urais na marehemu aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura.
Hapo Samia analo la kujifunza. DEMOKRASIA ni kitu muhimu sana.