Rais wa Botswana, Mokgweetsi Masisi kufanya ziara nchini Tanzania kesho June 10, 2021

..wanaweza kuwa na hoja.

..kwa mfano, ni nchi ngapi za Afrika zimewahi kutukopesha fedha za miradi ya maendeleo?

..chukulia miradi ya kimkakati ya SGR na bwawa la umeme, je fedha za miradi hiyo tumezikopa toka Wazungu, yaani Ulaya na Marekani, au tumekopa kwa Waafrika?
Afrika nzima akiri yetu ni moja!

Kwamba mzungu ndio atakaetuletea maendeleo. Hatuwazi kujitegemea ndio sababu unaona kuna wanasiasa lazima tu waende wakajipendekeze huko.

Wao walipoanza hawakuwa na pa kukopa waliumiza vichwa ni vipi wanatatua changamoto walizonazo. Sie hapa ukiwa na chamgamoto cha kwanza unawaza kwa mzungu.

Hatutatoka kwa namna hii.
 
President Mokgweetsi Masisi will undertake a Working Visit to Dar es Salaam, Tanzania tomorrow, June 10 2021 and return on Friday.

"His Excellency the President will meet with his counterpart, Her Excellency Mrs. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, to among others discuss ways of broadening the scope of bilateral cooperation between their two countries. The Heads of State will also deliberate on the political and security situation in the SADC Region," statement from Office of the President.

======

Rais wa Jamhuri ya Botswana, Mokgweetsi Masisi anatarajia kuwa na ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania, kuanzia kesho Juni 10, 2021 kwa mwaliko wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Juni 9, 2021 amesema Rais Masisi atawasili nchini kesho asubuhi na baada ya hapo atakuwa na mazungumzo ya mwenyeji wake Ikulu Jijini Dar es Salaam.

"Viongozi wetu wanatarajia kuzungumzia masuala ya ushirikiano kati ya nchi zetu mbili, uhusiano wa kidiplomasia, matumizi ya lugha ya Kiswahili nchini Botswana, bishara na uchumi pamoja na namna ya kuimarisha zaidi Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)," amesema.

Balozi Mulamula amesema Rais Masisi ataondoka nchini Ijumaa Juni 11, 2021 baada ya kutembelea kituo kimoja wapo cha biashara hapa nchini (ambacho hakukitaja)
Mbona hawaendi Dodoma
 
Afrika nzima akiri yetu ni moja!

Kwamba mzungu ndio atakaetuletea maendeleo. Hatuwazi kujitegemea ndio sababu unaona kuna wanasiasa lazima tu waende wakajipendekeze huko.

Wao walipoanza hawakuwa na pa kukopa waliumiza vichwa ni vipi wanatatua changamoto walizonazo. Sie hapa ukiwa na chamgamoto cha kwanza unawaza kwa mzungu.

Hatutatoka kwa namna hii.

..na midege pia tunanunua kwa wazungu tena kwa fedha taslim.
 
..na midege pia tunanunua kwa wazungu tena kwa fedha taslim.
Ina nunuliwa ili kuleta ufanisi wa kibishara na hatimaye mjitegemee! Ila kwakuwa akili za ombaomba bado zimewajaa utakuta mijitu inakejeli inataka ijaziwe hela mifukoni
 
Ina nunuliwa ili kuleta ufanisi wa kibishara na hatimaye mjitegemee! Ila kwakuwa akili za ombaomba bado zimewajaa utakuta mijitu inakejeli inataka ijaziwe hela mifukoni

..kwenye ununuzi wa midege kuna 10% ya kujaza kwenye mifuko ya wakubwa.

..nyinyi mna akili za ajabu sana. wenzenu wananua midege wakati nchi zao zinajitegemea.

..Watz hata kusomesha watoto tunakopa kwa mabeberu, halafu tunakwenda kununua midege.
 
Ikulu ya Dodoma itasahaulika Soon... Vumbi la Dodoma halizoeleki labda ujengwe uzio wa kuzuia Vumbi au Iwekwe Iron Dome ya kuzuia Vumbi Dodoma
 
Hivi ni kweli huo mji mkuu wa Botswana Gaborone unatamkika Gabohone. Yani na sisi waafrika kwa Swagger tunawaiga mabeberu kwa mabeberu ufaransa na ujerumani W ni Z mfano Wenger Venger, Former Yugoslavia c ni ch mfano papic inatamkwa papich. Scandinavian ni Y mfano Jana Yana). Sweden A ni O mfano Adam Odom.
Kila jamii zina namna ya kutamka matamshi kutokana na lugha zao zilivyo.
Mfano, Spanish "J" inatamkwa kama "H"
Mfano:
Mojito ni mohito
Jose ni hose
 
President Mokgweetsi Masisi will undertake a Working Visit to Dar es Salaam, Tanzania tomorrow, June 10 2021 and return on Friday.

"His Excellency the President will meet with his counterpart, Her Excellency Mrs. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania, to among others discuss ways of broadening the scope of bilateral cooperation between their two countries. The Heads of State will also deliberate on the political and security situation in the SADC Region," statement from Office of the President.

======

Rais wa Jamhuri ya Botswana, Mokgweetsi Masisi anatarajia kuwa na ziara ya kikazi ya siku mbili nchini Tanzania, kuanzia kesho Juni 10, 2021 kwa mwaliko wa Rais Samia Suluhu Hassan.

Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Liberata Mulamula akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Juni 9, 2021 amesema Rais Masisi atawasili nchini kesho asubuhi na baada ya hapo atakuwa na mazungumzo ya mwenyeji wake Ikulu Jijini Dar es Salaam.

"Viongozi wetu wanatarajia kuzungumzia masuala ya ushirikiano kati ya nchi zetu mbili, uhusiano wa kidiplomasia, matumizi ya lugha ya Kiswahili nchini Botswana, bishara na uchumi pamoja na namna ya kuimarisha zaidi Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)," amesema.

Balozi Mulamula amesema Rais Masisi ataondoka nchini Ijumaa Juni 11, 2021 baada ya kutembelea kituo kimoja wapo cha biashara hapa nchini (ambacho hakukitaja).
Marais wanaume mbona wanazidi kuitembelea tz?
 
Toka 2015 hajawahi kukanyaga Rais toka Ulaya na Marekani why?
Ni ujinga wetu tu waafrika.

Botswana wamefanikiwa sana katika mambo ya ufugaji wa tija.

Tungekuwa na akili nzuri, nchi kama Tanzania ingetumia mwanya huo kutafuta njia za kujifunza toka huko ili nasi tufanye vizuri katika eneo hilo.

Lakini ziara za hawa wakubwa kwa kweli huwa sioni manufaa yake makubwa; kasoro labda ya mama kule Kenya alikokwenda kujisalimisha ili tuwe soko lao bila kikomo.
 
Rais wa Botswana aliyeshinda uchaguzi kutoka chama cha UPINZANI anakutana na rais aliyeachiwa urais na marehemu aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura.
Hapo Samia analo la kujifunza. DEMOKRASIA ni kitu muhimu sana.
 
..kwenye ununuzi wa midege kuna 10% ya kujaza kwenye mifuko ya wakubwa.

..nyinyi mna akili za ajabu sana. wenzenu wananua midege wakati nchi zao zinajitegemea.

..Watz hata kusomesha watoto tunakopa kwa mabeberu, halafu tunakwenda kununua midege.
Uliiona hiyo 10% wakiweka mfukoni?

Sasa kama wananunua sababu nchi zao zinajitegemea wewe utaanza kujitegemea lini?

Magufuli alinunua hizo ndege ili hela itakayopataikana ndio iende kusomesha watoto, sema kosa lake ni kwamba alikuwa anaongoza taifa la watu wapumbavu ambapo malipo yake ni matusi!

Ngoja sasa tuendelee kutrmbeza mibakuli huku tukijaziwa hela mifukoni
 
Masisi ametoka chama cha BDP, ambacho ndio kilikuwa ktk serikali iliyopita na hakutokea upinzani...
Rais wa Botswana aliyeshinda uchaguzi kutoka chama cha UPINZANI anakutana na rais aliyeachiwa urais na marehemu aliyeingia madarakani kwa wizi wa kura.
Hapo Samia analo la kujifunza. DEMOKRASIA ni kitu muhimu sana.
I
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom