Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,899
- 33,464
Unahisi akikanyaga ndio ukoo wako utaondokana na umasikini?Toka 2015 hajawahi kukanyaga Rais toka Ulaya na Marekani why?
Hivi hii tabia ya wanachadema kuhisi kwamba maendeleo yenu yataletwa na wazungu inakuwaje yani?
Wao walitembelewa na nani mpaka wakawa hapo walipo?