Rais, Viongozi Idara ya Elimu Manispaa ya Morogoro wanaihujumu Serikali

Ruyama

JF-Expert Member
Sep 6, 2019
367
561
Viongozi idara ya elimu Manispaa ya Morogoro, wamekuwa na mtindo mbaya wa upigaji pesa, mfano hii mitihani inayoendelea kuna mwalimu alipangiwa kusimamia kituo kikubwa cha mitihani akapigiwa simu aende kituo kidogo na yule aliyepangiwa kusimamia kituo kidogo anaambiwa aende kituo kikubwa ili atoe 20 percent.

Mwaka jana nilileta malalamiko hatukulipwa pesa ya kusahihisha mitihani ya mock hadi leo kimyaa, ukihoji vitisho vingi ooh tutakuhamishia vijijini,hii idara ya elimu manispaa ni onevu mnoo na ni wapigaji wa pesa.

Mheshimiwa Rais chonde chonde ukipita hapa Morogoro mjini nenda manispaa ya Morogoro kwani kuna uhujumu mwingi kwenye idara ya elimu.

Mheshimiwa Rais nia yako ni nzuri mnoo ya kufanya nchi yetu ipige hatua lakini unakwamishwa na hawa viongozi idara ya elimu manispaa.

Napenda kuwasilisha dukuduku langu,walimu tunaonewa sana,bila sisi hata wewe unayesoma hii comment usingejua kusoma lakini basi tuu.
 
Viongozi idara ya elimu manispaa ya Morogoro,wamekuwa na mtindo mbaya wa upigaji pesa,mfano hii mitihani inayoendelea kuna mwalimu alipangiwa kusimamia kituo kikubwa cha mitihani akapigiwa simu aende kituo kidogo na yule aliyepangiwa kusimamia kituo kidogo anaambiwa aende kituo kikubwa ili atoe 20 percent.
Mwaka jana nilileta malalamiko hatukulipwa pesa ya kusahihisha mitihani ya mock hadi leo kimyaa, ukihoji vitisho vingi ooh tutakuhamishia vijijini,hii idara ya elimu manispaa ni onevu mnoo na ni wapigaji wa pesa.
Muheshimiwa Rais chonde chonde ukipita hapa Morogoro mjini nenda manispaa ya Morogoro kwani kuna uhujumu mwingi kwenye idara ya elimu.
Muheshimiwa Rais nia yako ni nzuri mnoo ya kufanya nchi yetu ipige hatua lakini unakwamishwa na hawa viongozi idara ya elimu manispaa.
Napenda kuwasilisha dukuduku langu,walimu tunaonewa sana,bila sisi hata wewe unayesoma hii comment usingejua kusoma lakini basi tuu.
UNAWACHONGEA WAKUBWA WAKO HUKU UKIWA HAUKO ANONYMOUS KABISA.

KWAN KUNA WAALIMU WANAOSTAHILI SHULE KUBWA NA AMBAO HAWASTAHILI?
UTADHIBITISHAJE HAYO MADAI YAKO?
 
Hapa ndipo hii kada huwa watu wengi wanakuwa na mashaka nayo wao n kulalamika tuuuuuuuu
 
Chadema ni janga kuwa sana kwa nchi yetu
Mtaehuka na siasa. Kila kitu siasa. Wafia chadema mna kazi sana na mtaendelea kulizana

Mleta uzi peleka maoni yako kwa mkuu wa mkoa kwa maandishi ila usiweke utambulisho wako
 
Mtaehuka na siasa. Kila kitu siasa. Wafia chadema mna kazi sana na mtaendelea kulizana

Mleta uzi peleka maoni yako kwa mkuu wa mkoa kwa maandishi ila usiweke utambulisho wako
Weee haunitakii mema, kiongozi atanigeuka physical ataonesha kuni support baadae mmmh
 
Viongozi idara ya elimu Manispaa ya Morogoro, wamekuwa na mtindo mbaya wa upigaji pesa, mfano hii mitihani inayoendelea kuna mwalimu alipangiwa kusimamia kituo kikubwa cha mitihani akapigiwa simu aende kituo kidogo na yule aliyepangiwa kusimamia kituo kidogo anaambiwa aende kituo kikubwa ili atoe 20 percent.

Mwaka jana nilileta malalamiko hatukulipwa pesa ya kusahihisha mitihani ya mock hadi leo kimyaa, ukihoji vitisho vingi ooh tutakuhamishia vijijini,hii idara ya elimu manispaa ni onevu mnoo na ni wapigaji wa pesa.

Mheshimiwa Rais chonde chonde ukipita hapa Morogoro mjini nenda manispaa ya Morogoro kwani kuna uhujumu mwingi kwenye idara ya elimu.

Mheshimiwa Rais nia yako ni nzuri mnoo ya kufanya nchi yetu ipige hatua lakini unakwamishwa na hawa viongozi idara ya elimu manispaa.

Napenda kuwasilisha dukuduku langu,walimu tunaonewa sana,bila sisi hata wewe unayesoma hii comment usingejua kusoma lakini basi tuu.
Hizi idara za elimu na vyuo vya afya vinahujumu sana serikali, wanafelisha watoto makusudi ili wapate fursa za kuhihisha na kuendesha mitihani kila wakati

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
UNAWACHONGEA WAKUBWA WAKO HUKU UKIWA HAUKO ANONYMOUS KABISA.

KWAN KUNA WAALIMU WANAOSTAHILI SHULE KUBWA NA AMBAO HAWASTAHILI?
UTADHIBITISHAJE HAYO MADAI YAKO?
Ni hivii, mwalimu amepangiwa kusimamia shule yenye siku nyingi ambapo anaondoka na pesa ndefu,sasa viongozi wajanja hutafuta watu na kufanya agreement akipata laki 6 ampe laki 1,sio kwamba ninachongea wakubwa wangu ila wamezidisha tamaa ya fedha,huyu mwalimu mwenye kidogo bado ananyang'anywa hivi wewe ukisema uhoji unatishiwa brother/sister heshimu malalamiko ya mtu na nina fact sio kwamba ni husda ya mtu
 
Nadhani kuna sanduku la maoni hapo kwa mkuu wa mkoa, sasa unaipeleka barua yako na kuitupia mule kisha unakimbia vile kama umetupa mawe kwenye mzinga wa nyuki
 
Hata hapa ujumbe umefika ni imani yangu
Nadhani kuna sanduku la maoni hapo kwa mkuu wa mkoa, sasa unaipeleka barua yako na kuitupia mule kisha unakimbia vile kama umetupa mawe kwenye mzinga wa nyuki
 
Nadhani kuna sanduku la maoni hapo kwa mkuu wa mkoa, sasa unaipeleka barua yako na kuitupia mule kisha unakimbia vile kama umetupa mawe kwenye mzinga wa nyuki
Kuna CCTV camera,wewe unadhani sijipendi
 
Najua hii serikali sikivu ita deal na hawa mafisadi wasio tosheka
 
Ni hivii, mwalimu amepangiwa kusimamia shule yenye siku nyingi ambapo anaondoka na pesa ndefu,sasa viongozi wajanja hutafuta watu na kufanya agreement akipata laki 6 ampe laki 1,sio kwamba ninachongea wakubwa wangu ila wamezidisha tamaa ya fedha,huyu mwalimu mwenye kidogo bado ananyang'anywa hivi wewe ukisema uhoji unatishiwa brother/sister heshimu malalamiko ya mtu na nina fact sio kwamba ni husda ya mtu
Pole ndugu.viongozi wengi kwenye halimashauri wamezigeuza nafasi zao kuwa mabucha ya kuchinjia watumishi wengine.ogopa zaidi idara zinazoongozwa na waliopandishwa toka kushika chaki Hadi kwenye viti vya kuzunguka!!!
 
Yani siyo Morogoro tu bali ni Halmashauri zote hapa Bongo wanapiga sana pesa hasa kupitia walimu.Nashangaa TAKUKURU wapo lakini hawachukui hatua.Au na wao ni wanufaika?
 
Viongozi idara ya elimu Manispaa ya Morogoro, wamekuwa na mtindo mbaya wa upigaji pesa, mfano hii mitihani inayoendelea kuna mwalimu alipangiwa kusimamia kituo kikubwa cha mitihani akapigiwa simu aende kituo kidogo na yule aliyepangiwa kusimamia kituo kidogo anaambiwa aende kituo kikubwa ili atoe 20 percent.

Mwaka jana nilileta malalamiko hatukulipwa pesa ya kusahihisha mitihani ya mock hadi leo kimyaa, ukihoji vitisho vingi ooh tutakuhamishia vijijini,hii idara ya elimu manispaa ni onevu mnoo na ni wapigaji wa pesa.

Mheshimiwa Rais chonde chonde ukipita hapa Morogoro mjini nenda manispaa ya Morogoro kwani kuna uhujumu mwingi kwenye idara ya elimu.

Mheshimiwa Rais nia yako ni nzuri mnoo ya kufanya nchi yetu ipige hatua lakini unakwamishwa na hawa viongozi idara ya elimu manispaa.

Napenda kuwasilisha dukuduku langu,walimu tunaonewa sana,bila sisi hata wewe unayesoma hii comment usingejua kusoma lakini basi tuu.
Ruyama jiangalie mdogo wangu kazi unayo ifanya moja ya matakwa yake ni kutii mamlaka yaliyo juu yako. Kumbadilishia mtu kituo cha kusimamia mtihani hakuhusiani na chochote na msalahi na stahiki za mfanya kazi (Mwalimu). Kazi ya kusimamia mitihani na kusahihisha ni kazi nyeti inayo husisha vyombo mbalimbali vya usalama na serikali kwa ujumla. Hivyo mnapoona mabadiliko yoyote katika hatua yoyote yana sababu zake za msingi sana. Hivyo fanya kazi yako kwa weredi mkubwa sana na epuka kuibua taarifa za upotoshaji.
 
Ruyama jiangalie mdogo wangu kazi unayo ifanya moja ya matakwa yake ni kutii mamlaka yaliyo juu yako. Kumbadilishia mtu kituo cha kusimamia mtihani hakuhusiani na chochote na msalahi na stahiki za mfanya kazi (Mwalimu). Kazi ya kusimamia mitihani na kusahihisha ni kazi nyeti inayo husisha vyombo mbalimbali vya usalama na serikali kwa ujumla. Hivyo mnapoona mabadiliko yoyote katika hatua yoyote yana sababu zake za msingi sana. Hivyo fanya kazi yako kwa weredi mkubwa sana na epuka kuibua taarifa za upotoshaji.
Kama Ana ushahidi muache atoe dukuduku lake inawezekana Kuna Jambo amelishuhudia halijakaa poa
NI vizuri kumdadisi Hilo tatizo likafanyiwa kazi
Sio kumtisha
Ila tu ningemshauri atoe taarifa mahali husika aache uoga
Hakuna chochote atafanyiwa Kama Ana ushahidi
 
Back
Top Bottom