SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,843
- 1,841
Ni kawaida kwa rais wetu kuhutubia taifa kila mwisho wa mwezi. kwa kawaida hotuba hii hutolewa kati ya tarehe 30 mpaka 3 ya mwezi unaofuatiwa.
Mpaka leo tarehe 5/12/2014 mh Rais haujahutubia taifa huku wananchi tukiwa katika njia panda katika mambo lukuki.
Hotuba ya mwezi huu vipi ndugu Profesa dr Kikwete. Kwa maneno yako ulisema DR amekuzuia kufanya kazi ngumu, je na hii ya kuhutubia taifa nimojawapo??
Mpaka leo tarehe 5/12/2014 mh Rais haujahutubia taifa huku wananchi tukiwa katika njia panda katika mambo lukuki.
Hotuba ya mwezi huu vipi ndugu Profesa dr Kikwete. Kwa maneno yako ulisema DR amekuzuia kufanya kazi ngumu, je na hii ya kuhutubia taifa nimojawapo??