Rais tunahitaji hotuba ya mwezi November

Rais tunahitaji hotuba ya mwezi November

Unamaanisha rais Kikwete? Hapo hatuna rais ndg tuna kivuli cha rais tu. Rais hajielewi. Nchi imemshinda. Atawaambia nini watz kwa udhaifu wake huu.

I know you are something,Because God doesn't create garbage.
 
wewe wacha kudharau makabila usiyoyajua.
usishangae siku huyo unaemdharau akashika dola na hii nchi ikawa na displine kupita nchi zote africa sijui utasema nini.

Ha ha ha mkuu jambazi tokalini akawa kiongozi wa nchi wachaga wote wizi wa bunduki nenda keko wamejatele
 
Back
Top Bottom