Umeongea ukweli mtupu.Tatizo letu sisi watanzania tunajisahau sana,lissu anashindwa kujielewa,anadhani nchi hizo hazina matatizo,wale ni wajanja sana na ndio maana wanamtumia yeye ili kuivuruga Tanzania kwa kuwa wameshaona kuna kifaa kimeshawagundua maujanja yao.Sisi yetu mijicho tu atakuja kujutia tuuu,mwanzo atayaona yapo sawa lakini baadae yatamrudia mwenyewe.
Unajuwa kuna mambo ambayo mtu mjinga sio rahisi kuelewa ILA nimwerevu Tu anaweza kuwa.
Lisu amekaa marekani nakuchafuwa taswira ya Taifa kwa kipindi chote ila Rais wamarekani hakuwahi hata tweet nakusema pole maana anona picha zake na cia wanamwambia kuna mtu hapo nyumbani.
Ila ametafuta picha ya mama ambaye yupo huko mpakan mwa Tanzania na ku comment Amazing na ma milion ya watu wakafurahi naku like.
Hii inathibitisha kuwa TZ kuna vipaji na badala yakujipaka matope tutafute kujenga taifa nakusemea mazuri taifa.
Kiukweli najuwa jamaa anajisikia vibaya sana maana hata mabeberu wana mshanga maana wanaijuwa Tz na ndio maana Trump amemtumia msg Amazing.....
Wajinga ndi waliwao sisi tunasenga mbele zidi kuchafuwa taifa ukirudi ukumbuke na kitanzi kabisa
Kwani Lissu ndiye anayeongoza Tanzania? Trump amesemaje kuhusu Stiegler's Gorge?Mkuu hilo lijitu sijui lissu nakwambia limerukwa akili,Trump kalipotezea ile mbaya kaona mwamke mpiga danadana ni bora kuliko huyo mlopokaji lissu.
Unajuwa kuna mambo ambayo mtu mjinga sio rahisi kuelewa ILA nimwerevu Tu anaweza kuwa.
Lisu amekaa marekani nakuchafuwa taswira ya Taifa kwa kipindi chote ila Rais wamarekani hakuwahi hata tweet nakusema pole maana anona picha zake na cia wanamwambia kuna mtu hapo nyumbani.
Ila ametafuta picha ya mama ambaye yupo huko mpakan mwa Tanzania na ku comment Amazing na ma milion ya watu wakafurahi naku like.
Hii inathibitisha kuwa TZ kuna vipaji na badala yakujipaka matope tutafute kujenga taifa nakusemea mazuri taifa.
Kiukweli najuwa jamaa anajisikia vibaya sana maana hata mabeberu wana mshanga maana wanaijuwa Tz na ndio maana Trump amemtumia msg Amazing.....
Wajinga ndi waliwao sisi tunasenga mbele zidi kuchafuwa taifa ukirudi ukumbuke na kitanzi kabisa
Unajuwa kuna mambo ambayo mtu mjinga sio rahisi kuelewa ILA nimwerevu Tu anaweza kuwa.
Lisu amekaa marekani nakuchafuwa taswira ya Taifa kwa kipindi chote ila Rais wamarekani hakuwahi hata tweet nakusema pole maana anona picha zake na cia wanamwambia kuna mtu hapo nyumbani.
Ila ametafuta picha ya mama ambaye yupo huko mpakan mwa Tanzania na ku comment Amazing na ma milion ya watu wakafurahi naku like.
Hii inathibitisha kuwa TZ kuna vipaji na badala yakujipaka matope tutafute kujenga taifa nakusemea mazuri taifa.
Kiukweli najuwa jamaa anajisikia vibaya sana maana hata mabeberu wana mshanga maana wanaijuwa Tz na ndio maana Trump amemtumia msg Amazing.....
Wajinga ndi waliwao sisi tunasenga mbele zidi kuchafuwa taifa ukirudi ukumbuke na kitanzi kabisa
Inasemekana ni Mmalawi huyo..TumainiEl umejuaje kama huyo mama ni mtanzania?