Rais Samia yupo njiani kurejea nchini kwa Dharura baada ya kutokea mafuriko Mkoani Manyara ambayo mpaka sasa watu 20 wamepoteza maisha

Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia suluhu Hasssan ameamua kukatisha shughuli za mkutano unaoendelea Dubai ili kurejea kwa dharura nchini ,kwa ajili ya kushughulikia maafa yaliyotokea mkoani manyara eneo la kateshi yaliyotokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia leo jumapili ambapo mpaka sasa watu takribani 20 wamepoteza maisha.

Ambapo Rais wetu mpendwa kwa maumivu makubwa ,uchungu mkubwa na hisia kali sana ametoa pole sanaa kwa watanzania wenzetu na familia zilizopatwa na kupoteza wapendwa wao,lakini pia mh Rais ametoa pole kwa majeruhi wote.

Pia mh Rais wetu mpendwa ametoa maagizo mazito sana ,ambapo ameagiza wizara ya afya kufika haraka sana eneo la tukio kwa ajili ya kusaidia majeruhi wote.lakini pia mh Rais wetu ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kufika kwa uharaka eneo la tukio ili kusaidia na kufanya shughuli za uokoaji,pia mh Rais wetu mpendwa ametoa maagizo kwa wizara ya madini kufika mlimani ambako ndiko athari ilikoanzia ili kufanya uchunguzi.

Lakini pia ameagiza waziri anayeshughulikia maafa pia naye afike haraka sanaa eneo la tukio na serikali yetu ielekeze nguvu zake zote huko wakati yeye akiwa njiani kurejea nchini kwa ajili ya kuja kuungana na kushiriki katika suala hilo zito lililochukua maisha ya watanzania wenzetu na kufanya uharibufu mkubwa sana.

Hii ndio maana ya kuitwa kiongozi ,.hii ndio maana ya Rais samia kupendwa na kukubalika sana na watanzania,kwa sababu ni kiongozi aliyekaribu sana na watanzania na anayeguswa na maisha ya watanzania.ni kiongozi mwenye huruma na anayethamini sana maisha ya kila mtanzania. Kwa upendo wake mkubwa kwa watanzania ndio maana tunamuona Rais wetu akikatisha mkutano wako na kurejea nchini, kwasababu anatambua kuwa yupo hapo alipo kwa ajili ya watanzania na ndio maana anarejea kwa ajili ya kuokoa na kushughulika na maisha ya watanzania.

Tumuombee Rais wetu mpendwa arejee salama na kufika salama hapa nchini. Mungu amlinde na kumtetea Rais wetu wakati wote wa safari yake katika kurejea nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Kwa uandishi huu nina uhakika hata Mh Mama yetu hawezi kuupenda, zaidi utamkwaza tu.
Busara ingekuongoza uandike maneno machache tu kuwa. " Kutokana na maafa yaliyotokea Hanang, Mh Rais ameamua kurejea nchini akitokea Dubai ".

Lakini hivyo ulivyoandika wewe kiuhalisia ni uandishi fulani wa Kinafiki. Yaani umeandika KIKAMPENI NA UPAMBE
 
Kwa uandishi huu nina uhakika hata Mh Mama yetu hawezi kuupenda, zaidi utamkwaza tu.
Busara ingekuongoza uandike maneno machache tu kuwa. " Kutokana na maafa yaliyotokea Hanang, Mh Rais ameamua kurejea nchini akitokea Dubai ".

Lakini hivyo ulivyoandika wewe kiuhalisia ni uandishi fulani wa Kinafiki. Yaani umeandika KIKAMPENI NA UPAMBE
Sijaandika kikampeni wala kinafiki bali nimeandika na kuwasilisha taarifa kama ilivyo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia suluhu Hasssan ameamua kukatisha shughuli za mkutano unaoendelea Dubai ili kurejea kwa dharura nchini ,kwa ajili ya kushughulikia maafa yaliyotokea mkoani manyara eneo la kateshi yaliyotokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia leo jumapili ambapo mpaka sasa watu takribani 20 wamepoteza maisha.

Ambapo Rais wetu mpendwa kwa maumivu makubwa ,uchungu mkubwa na hisia kali sana ametoa pole sanaa kwa watanzania wenzetu na familia zilizopatwa na kupoteza wapendwa wao,lakini pia mh Rais ametoa pole kwa majeruhi wote.

Pia mh Rais wetu mpendwa ametoa maagizo mazito sana ,ambapo ameagiza wizara ya afya kufika haraka sana eneo la tukio kwa ajili ya kusaidia majeruhi wote.lakini pia mh Rais wetu ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kufika kwa uharaka eneo la tukio ili kusaidia na kufanya shughuli za uokoaji,pia mh Rais wetu mpendwa ametoa maagizo kwa wizara ya madini kufika mlimani ambako ndiko athari ilikoanzia ili kufanya uchunguzi.

Lakini pia ameagiza waziri anayeshughulikia maafa pia naye afike haraka sanaa eneo la tukio na serikali yetu ielekeze nguvu zake zote huko wakati yeye akiwa njiani kurejea nchini kwa ajili ya kuja kuungana na kushiriki katika suala hilo zito lililochukua maisha ya watanzania wenzetu na kufanya uharibufu mkubwa sana.

Hii ndio maana ya kuitwa kiongozi ,.hii ndio maana ya Rais samia kupendwa na kukubalika sana na watanzania,kwa sababu ni kiongozi aliyekaribu sana na watanzania na anayeguswa na maisha ya watanzania.ni kiongozi mwenye huruma na anayethamini sana maisha ya kila mtanzania. Kwa upendo wake mkubwa kwa watanzania ndio maana tunamuona Rais wetu akikatisha mkutano wako na kurejea nchini, kwasababu anatambua kuwa yupo hapo alipo kwa ajili ya watanzania na ndio maana anarejea kwa ajili ya kuokoa na kushughulika na maisha ya watanzania.

Tumuombee Rais wetu mpendwa arejee salama na kufika salama hapa nchini. Mungu amlinde na kumtetea Rais wetu wakati wote wa safari yake katika kurejea nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Sawa
 
Waokoe pesa za walipa kodi masikini....PM yupo anatosha yeye acha azurule na wa zbar wengi maana wanajidanganya eti zamu yao......list of shame tumeiona ...aibù na dhambi kubwa wanatafuna hela masikiniii.....hata akirudi atafanya nini ?? Hana impact

Kwani hao waliopita walifanya nini huku Zanzibar na huko Tanganyika ?? Si ufisadi tu???
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia suluhu Hasssan ameamua kukatisha shughuli za mkutano unaoendelea Dubai ili kurejea kwa dharura nchini ,kwa ajili ya kushughulikia maafa yaliyotokea mkoani manyara eneo la kateshi yaliyotokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia leo jumapili ambapo mpaka sasa watu takribani 20 wamepoteza maisha.

Ambapo Rais wetu mpendwa kwa maumivu makubwa ,uchungu mkubwa na hisia kali sana ametoa pole sanaa kwa watanzania wenzetu na familia zilizopatwa na kupoteza wapendwa wao,lakini pia mh Rais ametoa pole kwa majeruhi wote.

Pia mh Rais wetu mpendwa ametoa maagizo mazito sana ,ambapo ameagiza wizara ya afya kufika haraka sana eneo la tukio kwa ajili ya kusaidia majeruhi wote.lakini pia mh Rais wetu ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kufika kwa uharaka eneo la tukio ili kusaidia na kufanya shughuli za uokoaji,pia mh Rais wetu mpendwa ametoa maagizo kwa wizara ya madini kufika mlimani ambako ndiko athari ilikoanzia ili kufanya uchunguzi.

Lakini pia ameagiza waziri anayeshughulikia maafa pia naye afike haraka sanaa eneo la tukio na serikali yetu ielekeze nguvu zake zote huko wakati yeye akiwa njiani kurejea nchini kwa ajili ya kuja kuungana na kushiriki katika suala hilo zito lililochukua maisha ya watanzania wenzetu na kufanya uharibufu mkubwa sana.

Hii ndio maana ya kuitwa kiongozi ,.hii ndio maana ya Rais samia kupendwa na kukubalika sana na watanzania,kwa sababu ni kiongozi aliyekaribu sana na watanzania na anayeguswa na maisha ya watanzania.ni kiongozi mwenye huruma na anayethamini sana maisha ya kila mtanzania. Kwa upendo wake mkubwa kwa watanzania ndio maana tunamuona Rais wetu akikatisha mkutano wako na kurejea nchini, kwasababu anatambua kuwa yupo hapo alipo kwa ajili ya watanzania na ndio maana anarejea kwa ajili ya kuokoa na kushughulika na maisha ya watanzania.

Tumuombee Rais wetu mpendwa arejee salama na kufika salama hapa nchini. Mungu amlinde na kumtetea Rais wetu wakati wote wa safari yake katika kurejea nchini.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Umeandika UKOKO sana. Bureeh.
 
Back
Top Bottom