MADAM T JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 6,220 Reaction score 3,917 Nov 11, 2024 #161 Blender said: Ana mshukuru mungu aliyempa ugonjwa ,na waliomponya ni madaktari, acheni utani mazee Click to expand... Blender said: Ana mshukuru mungu aliyempa ugonjwa ,na waliomponya ni madaktari, acheni utani mazee Click to expand... Huyo mungu wako anaegawa magonjwa mimi simjui. Mungu wangu ni mwema sana.
Blender said: Ana mshukuru mungu aliyempa ugonjwa ,na waliomponya ni madaktari, acheni utani mazee Click to expand... Blender said: Ana mshukuru mungu aliyempa ugonjwa ,na waliomponya ni madaktari, acheni utani mazee Click to expand... Huyo mungu wako anaegawa magonjwa mimi simjui. Mungu wangu ni mwema sana.
jmushi1 Platinum Member Joined Nov 2, 2007 Posts 26,375 Reaction score 25,453 Nov 11, 2024 #162 FaizaFoxy said: Kizimkazi. Click to expand... Ameenda kimya kimya.
TIMING JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 31,193 Reaction score 18,220 Nov 11, 2024 #163 Salary Slip said: Nimeona huku X kuna bango linasoma: MISSING PRESIDENT OF TANZANIA. Ngoja ninyamaze mie nisiseme sana. Click to expand... Watakua wazushi tu Alipoondoka walisema anaondoka, baada ya kukatiwa waya wa taarifa sasa wanatunga story
Salary Slip said: Nimeona huku X kuna bango linasoma: MISSING PRESIDENT OF TANZANIA. Ngoja ninyamaze mie nisiseme sana. Click to expand... Watakua wazushi tu Alipoondoka walisema anaondoka, baada ya kukatiwa waya wa taarifa sasa wanatunga story
P pye Chang shen JF-Expert Member Joined Jul 11, 2016 Posts 11,668 Reaction score 6,374 Nov 11, 2024 #164 Mufupi said: Mkuu umekazana sana na udini hivi hujiskii kukosa amani kwa maneno yako?.Au kuna wakristo waliowahi kukuumiza sana ktk maisha yako kwa kigezo cha imani yao!? Click to expand... Ni ukweli tu, hakuna kukazana wala kulegezana, huo ndio ukweli na ni kwa kuwa mna roho mbaya sana
Mufupi said: Mkuu umekazana sana na udini hivi hujiskii kukosa amani kwa maneno yako?.Au kuna wakristo waliowahi kukuumiza sana ktk maisha yako kwa kigezo cha imani yao!? Click to expand... Ni ukweli tu, hakuna kukazana wala kulegezana, huo ndio ukweli na ni kwa kuwa mna roho mbaya sana
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,506 Reaction score 123,777 Nov 11, 2024 #165 jmushi1 said: Ameenda kimya kimya. Click to expand... Ulitakaje?
Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 19,984 Reaction score 24,011 Nov 11, 2024 #166 Anapumzika kizmkaz huko
M MAGEMBE 4REAL Member Joined Mar 10, 2022 Posts 66 Reaction score 103 Nov 11, 2024 #167 Kwani wakati abaondoka alikuaga kuwa anaondoka?
jmushi1 Platinum Member Joined Nov 2, 2007 Posts 26,375 Reaction score 25,453 Nov 11, 2024 #168 FaizaFoxy said: Ulitakaje? Click to expand... Ndege ya Rais İtue Kizimkazi kimya kimya kwasababu gani? Au sıku hızı kuna drones zenye kubeba abiria? Kwenda Iowa ijulikane, lakini kurudi Kizimkazi ni siri.
FaizaFoxy said: Ulitakaje? Click to expand... Ndege ya Rais İtue Kizimkazi kimya kimya kwasababu gani? Au sıku hızı kuna drones zenye kubeba abiria? Kwenda Iowa ijulikane, lakini kurudi Kizimkazi ni siri.
Gabeji JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 2,107 Reaction score 3,029 Nov 11, 2024 Thread starter #169 Shadow7 said: Cuba 🇨🇺 Click to expand... Itakuwabado yupo cuba
Gabeji JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 2,107 Reaction score 3,029 Nov 11, 2024 Thread starter #170 jmushi1 said: Ndege ya Rais İtue Kizimkazi kimya kimya kwasababu gani? Au sıku hızı kuna drones zenye kubeba abiria? Kwenda Iowa ijulikane, lakini kurudi Kizimkazi ni siri. Click to expand... Yupo likikizo nasikia
jmushi1 said: Ndege ya Rais İtue Kizimkazi kimya kimya kwasababu gani? Au sıku hızı kuna drones zenye kubeba abiria? Kwenda Iowa ijulikane, lakini kurudi Kizimkazi ni siri. Click to expand... Yupo likikizo nasikia
Mr Attorney JF-Expert Member Joined Mar 30, 2020 Posts 25,472 Reaction score 34,518 Nov 11, 2024 #171 Gabeji said: Bila shaka ni wazima wa afya njema?! View attachment 3148547 Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania? Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni. Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji Click to expand... Muulize mumewe au yule jamaa anayezunguka naye kila mahali.
Gabeji said: Bila shaka ni wazima wa afya njema?! View attachment 3148547 Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania? Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni. Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji Click to expand... Muulize mumewe au yule jamaa anayezunguka naye kila mahali.
Mr Attorney JF-Expert Member Joined Mar 30, 2020 Posts 25,472 Reaction score 34,518 Nov 11, 2024 #172 Bush Dokta said: Kama Mtendaji Mkuu wa Serikali anasimamia Uchaguzi wa mitaa na vitongoji Click to expand... Uchaguzi au mchakato wa uteuzi.
Bush Dokta said: Kama Mtendaji Mkuu wa Serikali anasimamia Uchaguzi wa mitaa na vitongoji Click to expand... Uchaguzi au mchakato wa uteuzi.
R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 25,937 Reaction score 41,104 Nov 11, 2024 #173 Ulimtafuta Ikulu ukamkosa?
G Gypsum Screw JF-Expert Member Joined Jun 10, 2024 Posts 1,403 Reaction score 1,582 Nov 11, 2024 #174 Gabeji said: Bila shaka ni wazima wa afya njema?! View attachment 3148547 Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania? Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni. Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji Click to expand... wewe upo wapi
Gabeji said: Bila shaka ni wazima wa afya njema?! View attachment 3148547 Napenda kujua kwa sasa alipo Saisi mama Samia, yupo cuba bado au amerudi Tanzania? Kikatiba nina haki kujua Rais alipo. Mnao juu taarifa tafadhali tuambieni. Mungu ibariki Tanzania. By mwinjilist wenu Gabeji Click to expand... wewe upo wapi
Kishimbe wa Kishimbe JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 6,121 Reaction score 6,062 Nov 12, 2024 #175 View: https://youtu.be/ouFngqVqWQQ