Rais Samia yuko wapi kwa sasa?

Nimeona huku X kuna bango linasoma: MISSING PRESIDENT OF TANZANIA. Ngoja ninyamaze mie nisiseme sana.
Watakua wazushi tu

Alipoondoka walisema anaondoka, baada ya kukatiwa waya wa taarifa sasa wanatunga story
 
Ndege ya Rais İtue Kizimkazi kimya kimya kwasababu gani?

Au sıku hızı kuna drones zenye kubeba abiria?

Kwenda Iowa ijulikane, lakini kurudi Kizimkazi ni siri.

Yupo likikizo nasikia
 
Muulize mumewe au yule jamaa anayezunguka naye kila mahali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…