Rais Samia yuko wapi kwa sasa?

Rais yupo salama, ali tweet na kutoa pole msiba wa Mafuru. Wakati mwingine Rais anahitaji kupumzika na familia.
 
Ilitokea kwanza Makamu wa Rais, hakuonekana kwa muda hadharani mengi yakazungumzwa, akatokea hadharani yu buheri wa afya, uvumi, tetesi, na minong'ono yote ikatulia.

Ikaja zamu ya Makonda, akapotea majukwaani kwa muda. Watu wakatema nyongo, na hata wengine lumzushia taarifa za kifo. Akarudi kimya kimya ofisi, huyoo anapiga kazi za kama kawa..

Sasa ni zamu ya Rais wetu. Tabiri na ramli ziaanza kupikwa juu yake kila uchwao. Wasaidizi wake ni lazima watoe sahihi juu yake ama afya yake. Hii ndiyo njia sahihi ya kuzuia uzishi wowote ule juu yake.
 
Yaani wakristo wanafurahia uzushi kweli, hata sijui kwanini,

Hivi kwanini wakristo mnafurahia huu uzushi? Au kwa kuwa SAMIA ni muislamu?
Wewe umejuaje dini au dhehebu la kila mwana JF. Yule sheikh aliyesema Kiongozi wa nchi hafai kuwa mwanamke ulimuona ? Alikuwa mkristo au muislam mwenzako ? Hayo hayo maneno ya sheikh yangetamkwa na mkristo ungetukana matusi mazito. Usikimbilie udini. Wewe ndiye mdini mkubwa. Ni kosa kumzushia Rais wa nchi kifo, bila kujali imani, wala itikadi za vyama.
 
Kama ni kosa sasa kwanini mnamzushia,
Wacha kumzushia yaani mnatamani kabisa asiwepo
Why?
 
Yaanin tuseme wewe hujui madhehebu na dini za wana jf humu?
Mbona zipo wazi tu
Umejuaje kama mimi ni muislam
 
Yupo salama kabisa anaendelea vizuri kabisa na majukumu
 
Yaanin tuseme wewe hujui madhehebu na dini za wana jf humu?
Mbona zipo wazi tu
Umejuaje kama mimi ni muislam
Sikujiunga jf kwa kigezo cha dini. Hainihusu hiyo inakuhusu mwenyewe. Acha udini. Rais ni wa Watanzania wote, wapagani, wabudha, wahindu, WAKRISTO waislam nk
 
Mama Mitano tena, na TUNATOA FOMU MOJA TU...πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™πŸ™


Je Unafikiri hiyo itatenda haki. ?!
Je haitaonekana kama udhalimu. ?!
Je haitakuwa ni chukizo machoni pa Mwenyezi Mungu. ?’
Kwani hamjajifunza tu ?
Maana kuna jamaa aliwahi kufanya hivyo na je Mungu akaingiliaje ??
Je yuko wapi sasa ??
 
Hata makamu wa raisi alizushiwa.
Mwisho wa siku wote wakaumbuka.
Hamjifunzi?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…