Rais Samia yuko wapi kwa sasa?

Jamani acheni hizo basi. Huu uchuro sio. Litaitwa Taifa la kuombea mabaya Viongozi wao. Hata miaka minne haijafika mnaulizia mwingine tena.
 
Anachapa kazi rejea kauli ya Mh wa Ruangwa.
 
Mara ya kwanza alipo potea hivyo, aliibukia kwenye jengo refu duniani. Na unajuwa kilicho fuata baada ya hapo. Bandari za Tanganyika zilinadiwa bila sisi kujuwa!

Sasa subiri, safari hiii anaandaa makubwa zaidi baada ya Waziri wake wa TAMISEMI kumpitisha aendelee kwenye nafasi hiyo 2025.
 
Sijaona hayo Matusi ya Wahuni ๐Ÿผ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ