Rais Samia, waeleze Watanzania Deusdedith Soka yupo wapi?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
15,147
56,248
Ndugu rais.
Nakusabahi, hata hivyo nina swali kwako. Ni zaidi ya miezi sita sasa, kijana, mtanzania amepotea.

Umma wa Watanzania umepiga kelele kuhusu kupotea kwa kijana huyu lakini siyo ofisi yako wala wewe uliyeamua kulizungumzia suala hili.

Ndugu rais, ulipoapa kuwa rais uliapa kuwa amiri jeshi mkuu ikimaanisha kuwa ni mlinzi wa nchi, raia, mali zao n.k ndiyo maana vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako.

Ndugu Rais Soka yuko wapi?

Kipindi Soka amepotea, aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Mbowe aliitisha mkutano wa vyombo vya habari na kueleza wanaotuhumiwa kumteka Soka, kwamba ni Polisi huko Temeke. Je ndugu rais umefanya nini ili kuwabana watuhumiwa wamrudishe Soka akiwa salama salmini?.

Ndugu Rais, Kupotea kwa Soka hakuna tofauti na kupotea kwa Ben Saanane. Ninachelea kuwa Legacy yako sababu ya Soka itakija kuchafuka kama vile Legacy ya JPM ilivyochafuka sababu ya Ben Saanane.

Umma wa Watanzania unatunza hizi kumbukumbu ndugu rais. Huko mbeleni vitabu vitaandikwa juu ya haya mambo. Je unataka Kumbukumbu zako za urais zitawaliwe na mambo ya watu kutekwa, kupotezwa na wengine kuuawa?.

Ndugu Rais.
Je huyu mtoto Deusdedith Soka yuko wapi?

Pia soma > Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?
 
Ndugu rais.
Nakusabahi, hata hivyo nina swali kwako. Ni zaidi ya miezi sita sasa, kijana, mtanzania amepotea.

Umma wa Watanzania umepiga kelele kuhusu kupotea kwa kijana huyu lakini siyo ofisi yako wala wewe uliyeamua kulizungumzia suala hili.

Ndugu rais, ulipoapa kuwa rais uliapa kuwa amiri jeshi mkuu ikimaanisha kuwa ni mlinzi wa nchi, raia, mali zao n.k ndiyo maana vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako.

Ndugu Rais Soka yuko wapi?

Kipindi Soka amepotea, aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Mbowe aliitisha mkutano wa vyombo vya habari na kueleza wanaotuhumiwa kumteka Soka, kwamba ni Polisi huko Temeke. Je ndugu rais umefanya nini ili kuwabana watuhumiwa wamrudishe Soka akiwa salama salmini?.

Ndugu Rais, Kupotea kwa Soka hakuna tofauti na kupotea kwa Ben Saanane. Ninachelea kuwa Legacy yako sababu ya Soka itakija kuchafuka kama vile Legacy ya JPM ilivyochafuka sababu ya Ben Saanane.

Umma wa Watanzania unatunza hizi kumbukumbu ndugu rais. Huko mbeleni vitabu vitaandikwa juu ya haya mambo. Je unataka Kumbukumbu zako za urais zitawaliwe na mambo ya watu kutekwa, kupotezwa na wengine kuuawa?.

Ndugu Rais.
Je huyu mtoto Deusdedith Soka yuko wapi?
Rais gani wa TFF? Usiishie rais rais tu, uzi utadumu miaka usiwape kz vizazi vijavyo kutafuta rais gani na wa nini?
 
Ndugu rais.
Nakusabahi, hata hivyo nina swali kwako. Ni zaidi ya miezi sita sasa, kijana, mtanzania amepotea.

Umma wa Watanzania umepiga kelele kuhusu kupotea kwa kijana huyu lakini siyo ofisi yako wala wewe uliyeamua kulizungumzia suala hili.

Ndugu rais, ulipoapa kuwa rais uliapa kuwa amiri jeshi mkuu ikimaanisha kuwa ni mlinzi wa nchi, raia, mali zao n.k ndiyo maana vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako.

Ndugu Rais Soka yuko wapi?

Kipindi Soka amepotea, aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Mbowe aliitisha mkutano wa vyombo vya habari na kueleza wanaotuhumiwa kumteka Soka, kwamba ni Polisi huko Temeke. Je ndugu rais umefanya nini ili kuwabana watuhumiwa wamrudishe Soka akiwa salama salmini?.

Ndugu Rais, Kupotea kwa Soka hakuna tofauti na kupotea kwa Ben Saanane. Ninachelea kuwa Legacy yako sababu ya Soka itakija kuchafuka kama vile Legacy ya JPM ilivyochafuka sababu ya Ben Saanane.

Umma wa Watanzania unatunza hizi kumbukumbu ndugu rais. Huko mbeleni vitabu vitaandikwa juu ya haya mambo. Je unataka Kumbukumbu zako za urais zitawaliwe na mambo ya watu kutekwa, kupotezwa na wengine kuuawa?.

Ndugu Rais.
Je huyu mtoto Deusdedith Soka yuko wapi?
Sami siyo magufuli

She doesn’t interfere with police tasks
 
Vyombo vyote vys ulinzi na usalama kikatiba viko chini yake.

Sisi tunsmkaba mashati yeye, na yeye akawakabe mashati IGP na mkurugenzi wa usalsma wa Taifa.
..wakati unamuuliza Rais, kwamba Soka yuko wapi, Edson Mwakabela(Sativa) alitekwa kwa lengo la kuuawa, Mungu ni mwema akamnusuru..Sativa ameeleza hatua kwa hatua alivyotekwa..watu waliotakiwa kushikiliwa na kuhojiwa ni wale madalali waliomtafutia nyumba Sativa na hatimaye kutumiwa na watekaji kumlaghai ili wamkamate, wapo na amewataja majina yao, pili Sativa ametaja maofisa wa Polisi kwa majina..utekaji wa Soka unafanana na ule wa Sativa, sasa km Rais ameshindwa kuagiza waliotajwa kumteka Sativa wakamatwe na kuhojiwa..hili la Soka atalipa uzito? Hawezi kuchukua hatua kwa watu waliotajwa na wanajulikana, ije hao wa Soka wamwambie walipompeleka? Sidhani..!
 
..wakati unamuuliza Rais, kwamba Soka yuko wapi, Edson Mwakabela(Sativa) alitekwa kwa lengo la kuuawa, Mungu ni mwema akamnusuru..Sativa ameeleza hatua kwa hatua alivyotekwa..watu waliotakiwa kushikiliwa na kuhojiwa ni wale madalali waliomtafutia nyumba Sativa na hatimaye kutumiwa na watekaji kumlaghai ili wamkamate, wapo na amewataja majina yao, pili Sativa ametaja maofisa wa Polisi kwa majina..utekaji wa Soka unafanana na ule wa Sativa, sasa km Rais ameshindwa kuagiza waliotajwa kumteka Sativa wakamatwe na kuhojiwa..hili la Soka atalipa uzito? Hawezi kuchukua hatua kwa watu waliotajwa na wanajulikana, ije hao wa Soka wamwambie walipompeleka? Sidhani..!
Aliye mteka ulimboka tu kwa sasa ni mzee Mbunge unadhani haya maswala ni masihara.
 
Hana majibu
Ndugu rais.
Nakusabahi, hata hivyo nina swali kwako. Ni zaidi ya miezi sita sasa, kijana, mtanzania amepotea.

Umma wa Watanzania umepiga kelele kuhusu kupotea kwa kijana huyu lakini siyo ofisi yako wala wewe uliyeamua kulizungumzia suala hili.

Ndugu rais, ulipoapa kuwa rais uliapa kuwa amiri jeshi mkuu ikimaanisha kuwa ni mlinzi wa nchi, raia, mali zao n.k ndiyo maana vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako.

Ndugu Rais Soka yuko wapi?

Kipindi Soka amepotea, aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Mbowe aliitisha mkutano wa vyombo vya habari na kueleza wanaotuhumiwa kumteka Soka, kwamba ni Polisi huko Temeke. Je ndugu rais umefanya nini ili kuwabana watuhumiwa wamrudishe Soka akiwa salama salmini?.

Ndugu Rais, Kupotea kwa Soka hakuna tofauti na kupotea kwa Ben Saanane. Ninachelea kuwa Legacy yako sababu ya Soka itakija kuchafuka kama vile Legacy ya JPM ilivyochafuka sababu ya Ben Saanane.

Umma wa Watanzania unatunza hizi kumbukumbu ndugu rais. Huko mbeleni vitabu vitaandikwa juu ya haya mambo. Je unataka Kumbukumbu zako za urais zitawaliwe na mambo ya watu kutekwa, kupotezwa na wengine kuuawa?.

Ndugu Rais.
Je huyu mtoto Deusdedith Soka yuko wapi?

Pia soma > Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?
 
Ndugu rais.
Nakusabahi, hata hivyo nina swali kwako. Ni zaidi ya miezi sita sasa, kijana, mtanzania amepotea.

Umma wa Watanzania umepiga kelele kuhusu kupotea kwa kijana huyu lakini siyo ofisi yako wala wewe uliyeamua kulizungumzia suala hili.

Ndugu rais, ulipoapa kuwa rais uliapa kuwa amiri jeshi mkuu ikimaanisha kuwa ni mlinzi wa nchi, raia, mali zao n.k ndiyo maana vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako.

Ndugu Rais Soka yuko wapi?

Kipindi Soka amepotea, aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Mbowe aliitisha mkutano wa vyombo vya habari na kueleza wanaotuhumiwa kumteka Soka, kwamba ni Polisi huko Temeke. Je ndugu rais umefanya nini ili kuwabana watuhumiwa wamrudishe Soka akiwa salama salmini?.

Ndugu Rais, Kupotea kwa Soka hakuna tofauti na kupotea kwa Ben Saanane. Ninachelea kuwa Legacy yako sababu ya Soka itakija kuchafuka kama vile Legacy ya JPM ilivyochafuka sababu ya Ben Saanane.

Umma wa Watanzania unatunza hizi kumbukumbu ndugu rais. Huko mbeleni vitabu vitaandikwa juu ya haya mambo. Je unataka Kumbukumbu zako za urais zitawaliwe na mambo ya watu kutekwa, kupotezwa na wengine kuuawa?.

Ndugu Rais.
Je huyu mtoto Deusdedith Soka yuko wapi?

Pia soma > Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?
Damu za wote waliotekwa, kuteswa, kupotezwa na kuuwawa na vyombo vya dola zinaendelea kumlilia Samia, hili hawezi kulikwepa kwani yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu.
 
Ndugu rais.
Nakusabahi, hata hivyo nina swali kwako. Ni zaidi ya miezi sita sasa, kijana, mtanzania amepotea.

Umma wa Watanzania umepiga kelele kuhusu kupotea kwa kijana huyu lakini siyo ofisi yako wala wewe uliyeamua kulizungumzia suala hili.

Ndugu rais, ulipoapa kuwa rais uliapa kuwa amiri jeshi mkuu ikimaanisha kuwa ni mlinzi wa nchi, raia, mali zao n.k ndiyo maana vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako.

Ndugu Rais Soka yuko wapi?

Kipindi Soka amepotea, aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Mbowe aliitisha mkutano wa vyombo vya habari na kueleza wanaotuhumiwa kumteka Soka, kwamba ni Polisi huko Temeke. Je ndugu rais umefanya nini ili kuwabana watuhumiwa wamrudishe Soka akiwa salama salmini?.

Ndugu Rais, Kupotea kwa Soka hakuna tofauti na kupotea kwa Ben Saanane. Ninachelea kuwa Legacy yako sababu ya Soka itakija kuchafuka kama vile Legacy ya JPM ilivyochafuka sababu ya Ben Saanane.

Umma wa Watanzania unatunza hizi kumbukumbu ndugu rais. Huko mbeleni vitabu vitaandikwa juu ya haya mambo. Je unataka Kumbukumbu zako za urais zitawaliwe na mambo ya watu kutekwa, kupotezwa na wengine kuuawa?.

Ndugu Rais.
Je huyu mtoto Deusdedith Soka yuko wapi?

Pia soma > Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?
Upumbavu wa CHADEMA ndio huo, Soka alikuwa peke yake? Acheni ufala, taja majina ya watu wote waliopotea acheni ufala
 
Ndugu rais.
Nakusabahi, hata hivyo nina swali kwako. Ni zaidi ya miezi sita sasa, kijana, mtanzania amepotea.

Umma wa Watanzania umepiga kelele kuhusu kupotea kwa kijana huyu lakini siyo ofisi yako wala wewe uliyeamua kulizungumzia suala hili.

Ndugu rais, ulipoapa kuwa rais uliapa kuwa amiri jeshi mkuu ikimaanisha kuwa ni mlinzi wa nchi, raia, mali zao n.k ndiyo maana vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako.

Ndugu Rais Soka yuko wapi?

Kipindi Soka amepotea, aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Mbowe aliitisha mkutano wa vyombo vya habari na kueleza wanaotuhumiwa kumteka Soka, kwamba ni Polisi huko Temeke. Je ndugu rais umefanya nini ili kuwabana watuhumiwa wamrudishe Soka akiwa salama salmini?.

Ndugu Rais, Kupotea kwa Soka hakuna tofauti na kupotea kwa Ben Saanane. Ninachelea kuwa Legacy yako sababu ya Soka itakija kuchafuka kama vile Legacy ya JPM ilivyochafuka sababu ya Ben Saanane.

Umma wa Watanzania unatunza hizi kumbukumbu ndugu rais. Huko mbeleni vitabu vitaandikwa juu ya haya mambo. Je unataka Kumbukumbu zako za urais zitawaliwe na mambo ya watu kutekwa, kupotezwa na wengine kuuawa?.

Ndugu Rais.
Je huyu mtoto Deusdedith Soka yuko wapi?

Pia soma > Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?
Alikuwa anaishi kwa Samia?
 
Ndugu rais.
Nakusabahi, hata hivyo nina swali kwako. Ni zaidi ya miezi sita sasa, kijana, mtanzania amepotea.

Umma wa Watanzania umepiga kelele kuhusu kupotea kwa kijana huyu lakini siyo ofisi yako wala wewe uliyeamua kulizungumzia suala hili.

Ndugu rais, ulipoapa kuwa rais uliapa kuwa amiri jeshi mkuu ikimaanisha kuwa ni mlinzi wa nchi, raia, mali zao n.k ndiyo maana vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako.

Ndugu Rais Soka yuko wapi?

Kipindi Soka amepotea, aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Mbowe aliitisha mkutano wa vyombo vya habari na kueleza wanaotuhumiwa kumteka Soka, kwamba ni Polisi huko Temeke. Je ndugu rais umefanya nini ili kuwabana watuhumiwa wamrudishe Soka akiwa salama salmini?.

Ndugu Rais, Kupotea kwa Soka hakuna tofauti na kupotea kwa Ben Saanane. Ninachelea kuwa Legacy yako sababu ya Soka itakija kuchafuka kama vile Legacy ya JPM ilivyochafuka sababu ya Ben Saanane.

Umma wa Watanzania unatunza hizi kumbukumbu ndugu rais. Huko mbeleni vitabu vitaandikwa juu ya haya mambo. Je unataka Kumbukumbu zako za urais zitawaliwe na mambo ya watu kutekwa, kupotezwa na wengine kuuawa?.

Ndugu Rais.
Je huyu mtoto Deusdedith Soka yuko wapi?

Pia soma > Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?
Ndio nani!!?
 
Ndugu rais.
Nakusabahi, hata hivyo nina swali kwako. Ni zaidi ya miezi sita sasa, kijana, mtanzania amepotea.

Umma wa Watanzania umepiga kelele kuhusu kupotea kwa kijana huyu lakini siyo ofisi yako wala wewe uliyeamua kulizungumzia suala hili.

Ndugu rais, ulipoapa kuwa rais uliapa kuwa amiri jeshi mkuu ikimaanisha kuwa ni mlinzi wa nchi, raia, mali zao n.k ndiyo maana vyombo vyote vya ulinzi na usalama viko chini yako.

Ndugu Rais Soka yuko wapi?

Kipindi Soka amepotea, aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Mbowe aliitisha mkutano wa vyombo vya habari na kueleza wanaotuhumiwa kumteka Soka, kwamba ni Polisi huko Temeke. Je ndugu rais umefanya nini ili kuwabana watuhumiwa wamrudishe Soka akiwa salama salmini?.

Ndugu Rais, Kupotea kwa Soka hakuna tofauti na kupotea kwa Ben Saanane. Ninachelea kuwa Legacy yako sababu ya Soka itakija kuchafuka kama vile Legacy ya JPM ilivyochafuka sababu ya Ben Saanane.

Umma wa Watanzania unatunza hizi kumbukumbu ndugu rais. Huko mbeleni vitabu vitaandikwa juu ya haya mambo. Je unataka Kumbukumbu zako za urais zitawaliwe na mambo ya watu kutekwa, kupotezwa na wengine kuuawa?.

Ndugu Rais.
Je huyu mtoto Deusdedith Soka yuko wapi?

Pia soma > Hivi Deusdedith Soka ndio amezimwa kama alivyozimwa Ben Saanane?
Rais anamambo mengi sn mtu kapotelea kny mishe zake ,endeleni kumtafuta
 
Back
Top Bottom