minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Wewe rejesha milion 400 na madini ya marehemu Hamza kwanza kubla haujaendelea kumbambikia marehemu tuhuma feki za ugaidi wakati yeye aliwaua Asikari wawili huku wengine wakiuana wenyewe kwa wenyewe kwa kutupa risasi hovyoHamza alidhulumu roho za watu wasio na hatia. halafu leo wajinga wanataka tuamini alionewa. Gaidi. Tena gaidi mwenye kitambi sababu ya kula mema ya nchi bila kutolea jasho.
Dini wote tuna dini. Tuache masikhara hapa kwamba mtu fulani ndio anahaki zaidi ya mwingine sababu ya dini au rangi au kabila au chochote kile kisicho na mashiko