Ajira wazitajazo zitokanazo na uwekezaji ni politics tu and short consideration......tunaacha long run consideration....du very painfulMkuu, kenya ni Hatari sana, yaani hatutakubali eti waje washike vitalu vya madini, yaani hawa tukiwaruhusu Watanzania watabaki maskini wa kutupwa
True kakaMkuu, kenya ni Hatari sana, yaani hatutakubali eti waje washike vitalu vya madini, yaani hawa tukiwaruhusu Watanzania watabaki maskini wa kutupwa
Sasa kama hatuna migodi ya Tanzanite na tunaongoza kuuza hiyo bidhaa, hujiulizi wewe, imefika vipi KE, imetoka kwa nani(source) huko Tz na faida au hasara inagawanywa vipi?Tatizo lenu mna janja janja nyingi sana.
Unakumbuka kipindi cha nyuma Kenya ilikuwa inaongoza kwa kuuza tanzanite, vipi mna machimbo ya hayo madini huko kwenu?
Tunataka kufanya biashara na nyie ila kwa umakini wa hali ya juu...sio kwa ulegevu aliouonyesha mama.
Mkuu ndio tatizo la wengi wetu hawaangalii faida na hasara kwa miaka 100 ijayo....very sadMzee Marekani ni Richest Country Duniani lakini hawatakagi ujinga na ushirika wa upande mmoja.
Uingereza ni Taifa kubwa kuliko sisi na Mataifa yote Africa ila ulijitoa EU, muwege mnafikiria miaka 10 hadi 20
Very sad Mkuu... ...how comes mahindi Vs ardhi,madini,utalii....how much will earn from such kind of investment compared to the approaches tulizochukua miaka 5 iliyopita?kuna baadhi ya mambo asiyaguse kabisaa....tumeruka mkojo tumekanyaga mavi.
Leo kademka yeye,,,,,Uhuru kamdemsha tumeexchange Mahindi kwa makampuni
Ninacho fahamu ni samia ni rais anaye penda kuzingatia taratibu kwa hivyo mnao dhani wakenya wamealikwa tanzania kama wamealikwa nyumbani kwa samia basi tafakarini vizuriNimeandika Uzi humu ndani watu wakatoka mapovu.
Yaani Matatizo waliyotaka wenyewe waje kusaidiwa huku, nilishangaa Rais aliposema Tanzania ina Ardhi anawakaribisha Wakenya, Akanichosha aliposema Tanzania ina madini wakenya waje, utadhani watu hatuijui Kenya.
Hivi Wakenya wangapi watakuja Tanzania kuwekeza Madini Tanzania tusiwaite wachimbaji wadogowadogo,
Tunachotaka ni win-win agreement kwenye hizo investments.....sio tu kufurahia kila uwekezaji.......Iko hivi kwa taarifa yako Wasukuma ndio wanaogoza kuwekeza kwenye migodi ya Kenya au unafikiri Kenya hakuna migodi?
Kuanzia Migori hapo kwenda mpaka kisumu kuna migodi kibao na wakazi wa huko ni wasukuma na wajaluo.
Sasa wewe sijui unataka wawekezaji kutoka wapi ndio waje wawekeze na mchanga wabebe
Hii nchi watu tunashindwa kujua kitu tunachokitaka..
Kwenye swala la uwekezaji na kukuza uchumi niko na mama.
Ila tutagombana kwenye democracy na ufisadi na katiba mpya.
Wao huwa wanaweza hata kufanya "usanii" na "kamari" kwenye biashara kwa kutumia mkono wa serikali.Kwenye ubinafsi ndio hapo napohofia tu maana sie watanzania ni social beings ila hawa wenzetu watakuja kutumia ile generous calibre yetu kutuumiza! It has nothing to do na uoga ila curiosity tu maana tulishaliona hili hata kwenye professionalism.
That is what selfish guys do na ndio maana wazee Jakaya na Magu waliamua kuwakazia at some point. Ngoja tuone tukiwakaribisha mpaka sebuleni hali itakuwaje maana kuna kundi linataka kuonja sumu kwa kuilamba ila nachowaza kwa ukabaji wao mpaka kwenye box la penati wakiingia kila sector watakao survive watakuwa akina Rostam, Dewji, Bhakresa and the like!
Magufuli angemwita mwendawazimu. Hawa wakenya wametuibia tanzanite rubies na madini za vito zote kwa kununua magendo miaka toka 1960s. Nakumbuka walijaa pia kama wachimbaji wadogo hadi ikafanyika kusudi kuwatimua. Ndio leo uwaite kuwekeza? Si watabeba tena kupeleka kwao kimagendo kisha kuuza wao nje? Lets be serious..tumejenga ukuta mererani ila bado tanzanite inakwenda kenya kimagendo. Yaani huwezi kutrade na kenya bila wao kukuibia au kukulalia. Kuibiwa kwa maana ya kupunjwa na ukwepaji kodi kwa nchi yetu. Chini ya magufuli tumeona nguvu ya kodi yetu na mipango mizuri ikifanya mambo ya tija kwa mstakabali wa taifa letu.Nimeandika Uzi humu ndani watu wakatoka mapovu.
Yaani Matatizo waliyotaka wenyewe waje kusaidiwa huku, nilishangaa Rais aliposema Tanzania ina Ardhi anawakaribisha Wakenya, Akanichosha aliposema Tanzania ina madini wakenya waje, utadhani watu hatuijui Kenya.
Hivi Wakenya wangapi watakuja Tanzania kuwekeza Madini Tanzania tusiwaite wachimbaji wadogowadogo,
Kama hayo waliyikubaliana yataruhusu haya.....itakuwa ni pigo kubwa sansNina mashaka na Uwezo wa kuamua wa Rais wangu, au kuna kundi linalonunulika linamshauri, yaani kikubwa ambacho Kenya itaifanyia Tanzania ni kuruhusu Mahindi, alafu sisi tutaruhusu Masuala ya Anga, Utalii.
Wao Wanazuia Shirika letu la ndege kufanya Kazi,ila lao wanataka tulihusu, Eti Mtalii afike Kenya ndio aje Tanzania, Kwa nini asianze Tanzania
Mama alipaswa amuache Kabudi kwenye wizara ya mambo ya nje aisee,
Kenyatta kufuta vibali ule ni mtego. Unakumbuka sakata la CEO wa Vodacom?Wao wametoa ofa ya kufanya biashara na kazi bila vibali kuwatega, kisha nyie nao mjichanganye muone.
Mkuu, hata ukiwa macho, kuna mpunga wa Escrow au EPA ulipigwa kwa ushirikiano na wakubwa; utazuiaje na wenye mamlaka washafanya maamuzi?Jirani akusaidie kuzuia mwizi kwako, mwizi anayeshirikiana na wanao Huyo jirani anaanzaje? Tanzanite haiwezi kuibiwa bila wa TZ wenyewe kubariki mkenya wacha afaidi mpaka tutakapo amka kweli. Tumelala sana bana nasi.
Umewahi kuishi na wakenya? Umewahi kufanya biashara na wakenya?Ndio maana nikasema sheria ziangaliwe Chief, lakini sio kukaa na kuogopa eti watatupiga.
So what...marekani anafanya hivyo kwa faida yake....Marekani yenyewe unayoisema ndio inaongoza kuwa na wafanyakazi wa kigeni kuliko nchi zote duniani
Ndio nchi inayoongoza kununua bidhaa toka China kuliko nchi zote za America.
We jamaa vipi wewe uwekezaji gani unautaka?
Wacha wakulima tuufanyie kazi msemo wa wazee mkitaka mali mtaipata shambanitumeruka mkojo tumekanyaga mavi.
Leo kademka yeye,,,,,Uhuru kamdemsha tumeexchange Mahindi kwa makampuni
na hayo mahindi kuanzia mwakani wakenya ndo wazalishaji wakuu wataanza kulima tanzania vijana wakitanzania waendelee kudemka mjiniNina mashaka na Uwezo wa kuamua wa Rais wangu, au kuna kundi linalonunulika linamshauri, yaani kikubwa ambacho Kenya itaifanyia Tanzania ni kuruhusu Mahindi, alafu sisi tutaruhusu Masuala ya Anga, Utalii.
Wao Wanazuia Shirika letu la ndege kufanya Kazi,ila lao wanataka tulihusu, Eti Mtalii afike Kenya ndio aje Tanzania, Kwa nini asianze Tanzania
Mama alipaswa amuache Kabudi kwenye wizara ya mambo ya nje aisee,