Na nyinyi acheni kuwapigia watu kelele kwa starehe zenu bhana. Wengine muda huo wanatakiwa kupumzisha akili.
DC yuko sahihi. Kama mnataka kuendelea kunywa kuanzia hiyo saa 6 usiku, zimeni mziki ili watu walale.
Na kama haiwezekani, basi wekeni sound proof.