Rais Samia tuondole DC Mtanda Arusha

Rais Samia tuondole DC Mtanda Arusha

Ebu fikiri umeshakunywa Jack Daniel imezama kichwani sawa sawa wanangia polisi 15 na bunduki sasa kuna tofauti gani na Afrighanstan au Somalia.
Ukiona zile bunduki zao tu pombe zote zinakutoka na unawaomba msamaha kwa kuzidisha muda na unaondoka kimya kimya. Ukijifanya kidume wa kubishana nao, hawakawii kutangaza ripoti mwamba, "RIRIKUWA RINAPAMBANA NA GESHI RETU RA PORISI" while you are gone.
 
Arusha ni Mkoa wa pili kwa kuingiza mapato baada ya Dar.

Mapato maana yake shughuli za kiuchumi ikiwemo utalii,madini,biashara za mazao mbali mbali ya kilimo hasa mboga mboga na matunda.

Nature ya mji wa Arusha ni starehe Hotel,Pub .......

DC mtanda kaanzisha sokomoko la aina yake anatembea na kikosi cha polisi Bar zote kuanzia saa 6 usiku akitaka music uzimwe watu wanywe kimya kimya utadhani wapo msibani.

Matendo ya DC Mtanda yanachangia kushusha mapato ya wafanyabiashara na Serekali.

Matendo ya DC Mtanda ya kuingiza polisi wenye bunduki katika sehemu starehe ni kuwaogopesha wateja na kuharibu biashara na kuzoretesha biashara pasipo sababu za maana.

DC Mtanda hastahili kuendelea na kazi za Mkuu wa Wilaya Arusha kama itakupendeza angepelekwa huko Turiani au Namtumbo kungemfaa zaidi.

Ngongo kwasasa The Pillar
Hawezi kudumu muda mrefu, ni mtu wa Majungu na Fitina
 
Arusha ni Mkoa wa pili kwa kuingiza mapato baada ya Dar.

Mapato maana yake shughuli za kiuchumi ikiwemo utalii,madini,biashara za mazao mbali mbali ya kilimo hasa mboga mboga na matunda.

Nature ya mji wa Arusha ni starehe Hotel,Pub .......

DC mtanda kaanzisha sokomoko la aina yake anatembea na kikosi cha polisi Bar zote kuanzia saa 6 usiku akitaka music uzimwe watu wanywe kimya kimya utadhani wapo msibani.

Matendo ya DC Mtanda yanachangia kushusha mapato ya wafanyabiashara na Serekali.

Matendo ya DC Mtanda ya kuingiza polisi wenye bunduki katika sehemu starehe ni kuwaogopesha wateja na kuharibu biashara na kuzoretesha biashara pasipo sababu za maana.

DC Mtanda hastahili kuendelea na kazi za Mkuu wa Wilaya Arusha kama itakupendeza angepelekwa huko Turiani au Namtumbo kungemfaa zaidi.

Ngongo kwasasa The Pillar
Na nyinyi acheni kuwapigia watu kelele kwa starehe zenu bhana. Wengine muda huo wanatakiwa kupumzisha akili.

DC yuko sahihi. Kama mnataka kuendelea kunywa kuanzia hiyo saa 6 usiku, zimeni mziki ili watu walale.

Na kama haiwezekani, basi wekeni sound proof.
 
Mimi niko mji mwingine kabisa ila kwa hili la kelele za miziki kwenye makazi ya watu ni too much, NEMC wanastahili lawama sana hivi sasa, vyombo vya miziki vimeingia kwa wingi sana hakuna tofauti na mifuko ya plastic, ukipita kila kona ni kelele, basi iwekwe sheria kila anayeweka muziki aweke sound proofing kwenye eneo lake
Hao watu kwanini wanaishi maeneo ya Burudani
 
Saa 8 naingia Arusha ukiwa umetamalaki kila sehemu nauliza kulikoni nasmbiwa DC Mtaka.
Usimchanganye RC Mtaka na DC Mtanda!.
Mtaka ndie top RC hapa Tanzania, very soon mtasikia ndege zinatua Songwe!, ila Mama nae...!.
P
 
Milkuwa hamumjui? Ulizeni vituko vyake Rukwa alikotokea. Kwa ujumla huyu anabebwa na hali ya kutoka sehemu moja na Majaliwa. Kwa ufisadi aliofanya Rukwa haikutegemewa arudishwe kwenye uDC. 2020 alitaka kushindana na Salma Kikwetw kwenye kura za maoni akashituka na kuacha ghafla. Mtanda ni kichomi. Mpaka Leo Mradi wa Kituo cha Afya Nkomolo Nkasi alioufisadi kwa kuchepusha materials na kujengea jengo lake lililokodiwa na CRDB wanaukwepesha kutembelewa na viongozi wa kitaifa.
 
Arusha ni Mkoa wa pili kwa kuingiza mapato baada ya Dar.

Mapato maana yake shughuli za kiuchumi ikiwemo utalii,madini,biashara za mazao mbali mbali ya kilimo hasa mboga mboga na matunda.

Nature ya mji wa Arusha ni starehe Hotel,Pub .......

DC mtanda kaanzisha sokomoko la aina yake anatembea na kikosi cha polisi Bar zote kuanzia saa 6 usiku akitaka music uzimwe watu wanywe kimya kimya utadhani wapo msibani.

Matendo ya DC Mtanda yanachangia kushusha mapato ya wafanyabiashara na Serekali.

Matendo ya DC Mtanda ya kuingiza polisi wenye bunduki katika sehemu starehe ni kuwaogopesha wateja na kuharibu biashara na kuzoretesha biashara pasipo sababu za maana.

DC Mtanda hastahili kuendelea na kazi za Mkuu wa Wilaya Arusha kama itakupendeza angepelekwa huko Turiani au Namtumbo kungemfaa zaidi.

Ngongo kwasasa The Pillar
DC aina hii ndio wale washamba shamaba tu
 
Back
Top Bottom