Rais Samia tuondole DC Mtanda Arusha

Ebu fikiri umeshakunywa Jack Daniel imezama kichwani sawa sawa wanangia polisi 15 na bunduki sasa kuna tofauti gani na Afrighanstan au Somalia.
Ukiona zile bunduki zao tu pombe zote zinakutoka na unawaomba msamaha kwa kuzidisha muda na unaondoka kimya kimya. Ukijifanya kidume wa kubishana nao, hawakawii kutangaza ripoti mwamba, "RIRIKUWA RINAPAMBANA NA GESHI RETU RA PORISI" while you are gone.
 
Hawezi kudumu muda mrefu, ni mtu wa Majungu na Fitina
 
Na nyinyi acheni kuwapigia watu kelele kwa starehe zenu bhana. Wengine muda huo wanatakiwa kupumzisha akili.

DC yuko sahihi. Kama mnataka kuendelea kunywa kuanzia hiyo saa 6 usiku, zimeni mziki ili watu walale.

Na kama haiwezekani, basi wekeni sound proof.
 
Hao watu kwanini wanaishi maeneo ya Burudani
 
Saa 8 naingia Arusha ukiwa umetamalaki kila sehemu nauliza kulikoni nasmbiwa DC Mtaka.
Usimchanganye RC Mtaka na DC Mtanda!.
Mtaka ndie top RC hapa Tanzania, very soon mtasikia ndege zinatua Songwe!, ila Mama nae...!.
P
 
Milkuwa hamumjui? Ulizeni vituko vyake Rukwa alikotokea. Kwa ujumla huyu anabebwa na hali ya kutoka sehemu moja na Majaliwa. Kwa ufisadi aliofanya Rukwa haikutegemewa arudishwe kwenye uDC. 2020 alitaka kushindana na Salma Kikwetw kwenye kura za maoni akashituka na kuacha ghafla. Mtanda ni kichomi. Mpaka Leo Mradi wa Kituo cha Afya Nkomolo Nkasi alioufisadi kwa kuchepusha materials na kujengea jengo lake lililokodiwa na CRDB wanaukwepesha kutembelewa na viongozi wa kitaifa.
 
DC aina hii ndio wale washamba shamaba tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…