tinkanyarwele
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 2,017
- 1,940
Mkuu ni sawa na maeneo ya mkoa wa Kagera, yaani huko vifaa vya ujenzi ni anasaMahali nilipo mfuko wa
cement ni tsh.23,000/-
Nondo mm 12 =21,000/-
Bati futi 8 gauge 32 = 18,000/-
futi 6 -//-. 17,000/-
Misumari kilo 1 = 8,000/-
Baadhi tu ya vifaa