RUSHAMBYA
Member
- Dec 2, 2015
- 40
- 32
Mh. Rais mama Samia Suluhu Hassan tunaomba uliangalie upya suala la vifaa vya ujenzi kwani gharama zake ziko juu sana kiasi mtu wa kipato cha kawaida hasa wa kijijini hawezi kumudu gharama hizo hata kidogo.
Kama bati futi 10 la gauge 32 ni limefikia Tsh. 20,000/- tutaweza kujenga kweli. Tafadhali washauri wa Rais tunaomba mlifikishe hili, ni hatari huku vijijini.
Karibu watalaamu tushauriane ujumbe umfikie Mh. Rais. Ahsante sana.
Kama bati futi 10 la gauge 32 ni limefikia Tsh. 20,000/- tutaweza kujenga kweli. Tafadhali washauri wa Rais tunaomba mlifikishe hili, ni hatari huku vijijini.
Karibu watalaamu tushauriane ujumbe umfikie Mh. Rais. Ahsante sana.