#COVID19 Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

Kinuju

JF-Expert Member
Mar 20, 2021
2,390
5,310
Rais wa Tanzania Samia Suluhu leo akiwa anahutubia kwenye baraza la Eid amewatoa hofu mashehe na watanzania kwa ujumla kuwa Tanzania siyo uwanja wa majaribio na haitakubali kupokea chanjo ya Corona kabla ya kufanya utafiti wa faida na madhara ya chanjo hiyo kwa watanzania.

My take.

Chanjo ya corona aliyochanjwa Mbowe akiwa Dubai na akarudi mbio mbio kuhamasisha watanzania tuchanjwe haraka alijiridhisha madhara yake lini?

=====

Samia: Tutajiridhisha kabla ya kukubali chanjo ya corona​


  • Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ugonjwa wa Covid-19 umeathiri dunia nzima, ili kukabiliana nao lazima kushirikiana na mataifa mengine lakini Serikali itaendelea kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo matumizi ya chanjo ya ugonjwa huo.

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ugonjwa wa Covid-19 umeathiri dunia nzima, ili kukabiliana nao lazima kushirikiana na mataifa mengine lakini Serikali itaendelea kuchukua tahadhari mbalimbali ikiwemo matumizi ya chanjo ya ugonjwa huo.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Mei 14, 2021 katika baraza la Idd lililofanyika leo jioni katika viwanja vya Karimjee mkoani Dar es Salaam.

Alizungumzia suala hilo baada ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) katika risala yao kutaka chanjo ya corona kutolewa kwa hiari huku Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi akiwataka Waislamu kuzingatia maelekezo yanayotolewa na wataalam wa afya nchini kuhusu kujikinga na ugonjwa huo.
“Nataka kuhakikishia kwamba tahadhari mlizitoa hapa juu ya chanjo na mengine zitafuatwa kikamilifu na Serikali yenu, hata hivyo hii haina maana kwamba tutapokea kila kitu tunacholetewa au kuambiwa la hasha lazima na sisi tujiridhishe kwa hiyo.”

“Hata suala la chanjo nalo tutajiridhisha kabla ya kuamua kutumia au kuacha kutumia, hivyo nawasihi Watanzania kutokuwa na hofu yoyote Serikali ipo makini sana katika kushughulikia suala hilo,” amesema Rais Samia

1621051817091.png

1621051830755.png

RAIS SAMIA AHUTUBIA BARAZA LA EID ELFITR VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM
1-2-scaled.jpeg


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Baraza la Eid ElFitr ambalo Kitaifa limefanyika katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam leo tarehe 14 Mei, 2021.












 
Hii ni kauli ya Mh Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Madam President Samia Suluhu Hassan. leo.

"Nataka kuwahakikishia kwamba tahadhari zote mlizotoa hapa juu ya chanjo na mengine zitafuatwa, kikamilifu na Serikali yenu, hata hivyo hii haina maana kwamba tutapokea kila kitu tutakacholetewa au kuambiwa la hasha lazima na sisi tukiridhishe.

Hata suala la chanjo tutajiridhisha kwanza kabla ya kuamua kutumia au kuacha kutumia.hivyo nawaasa watanzania kutokuwa na hofu yoyote Serikali iko makini sana katika kushughulikia suala hilo"......Rais Samia Suluhu Hassan 14/mei /2021.

MY TAKE ON COVID 19 VACCINE
Tanzania haina historia ya kugomea wala kukimbilia chanjo.
nikitolea mfano wa chanjo dhidi ya kansa ya shingo ya kizazi ambayo duniani ilianza kutumika mwaka 2006 ilichukua miaka 12 kuanza kutumika rasmi nchini Tanzania.Mwaka 2018 Serikali ilianza kueneza matumizi ya chanjo hii kwa awamu katika mikoa ya Tanzania.baada ya majaribio kadhaa miaka michache kabla.

Kenya walianza kuitumia mwaka mmoja au miwili kabla ya Tanzania.

Ikumbukwe kansa ya shingo ya kizazi imeumiza na kuua kina mama wengi pengine kuliko covid 19.do we have clear reasons why should the nation fast track and accept covid 19 vaccines?

Wazo la kufanya uchambuzi wa kina juu ya chanjo za corona ni wazo la kisayansi.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Tunza hii kauli yako alafu utakuja kuthibitisha ni pigo kwako au kwa huyo Mbowe. Just sit down and relax enjoy the show
Wala hakuna proof chanjo inakinga. Hapo ni umafia wa kibeberu kuuza chanjo na haiuzwi bei rahisi ni ghali sana.
 
MUNGU tuu atusaidie?
Hivi Tuna maabara au Wataalam wakujua Madhara yake?Yaani Kujiridhisha?
Hii kitu ni Mpya sana kwenye Ulimwengu wa Sayansi!
Hata chanjo tunazotumia zilikuwa ni mpya sana ulimwenguni muda zinaanza kutumika.Tanzania ilitumia wataalamu wake na washirika wa chanjo ulimwenguni hadi maamuzi ya kuanza kuzitumia yalivyofikiwa.
 
Hii ni kauli ya Mh Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania Madam President Samia Suluhu Hassan. leo.

"Nataka kuwahakikishia kwamba tahadhari zote mlizotoa hapa juu ya chanjo na mengine zitafuatwa, kikamilifu na Serikali yenu,hata hivyo hii haina maana kwamba tutapokea kila kitu tutakacholetewa au kuambiwa la hasha lazima na sisi tukiridhishe,
Hata suala la chanjo tutajiridhisha kwanza kabla ya kuamua kutumia au kuacha kutumia.hivyo nawaasa watanzania kutokuwa na hofu yoyote Serikali iko makini sana katika kushughulikia suala hilo"......Rais Samia Suluhu Hassan 14/mei /2021.
Chanjo zinazodaiwa ni chanjo sio chanjo mkuu,nitaishangaa Tanzania kukubali hicho kinachoitwa chanjo,kwa kuwa sio chanjo,na itakuwa disaster kwa vizazi vijavyo,kama vitakuwepo at all baada ya kupokea hiyo C-19 injection/shot/jab as people call it,kwa vile sio chanjo.

Infact inafahamika sasa kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System or "Software of Life" as they call it.Kama unajua maana ya namba 666,you know who we are dealing with,Lucifer himself! This explains why Bill Gates is heavily involved in the C-19 shot.

Nia ya hii soft ware ni kuweza ku-reprogramme the DNA of humans as "they" (The NWO cabal) wish,which means that humans looses their humanity,and instead become zombies.It's so scary.
 
Chanjo zinazodaiwa ni chanjo sio chanjo mkuu,nitaishangaa Tanzania kukubali hicho kinachoitwa chanjo,kwa kuwa sio chanjo,na itakuwa disaster kwa vizazi vijavyo,kama vitakuwepo at all baada ya kupokea hiyo C-19 injection/shot/jab as people call it,kwa vile sio chanjo.Infact inafahamika sasa kwamba ni Microsoft Windows 666 mRNA Operating System or "Software of Life" as they call it.This explains why Bill Gates is heavily involved in the C-19 shot.

Nia ya hii soft ware ni kuweza ku-programme the DNA of humans as the wish,which means that humans loose their humanity,and infact become zombies.It's so scary.
Sitaki kuenda huko kwenye conspiracy theories lakini ni muhimu kuitafiti kwa kina.
Ni muhimu kujua tunamkinga nani na kwa sababu ipi.
Ni muhimu kuyajua .madhara
Ni muhimu kujua gharama
Ni muhimu kutambua iwapo hakuna njia bora za kupambana na corona zaidi ya chanjo?

Yapo mengi mkuu
 
Sitaki kuenda huko kwenye conspiracy theories lakini ni muhimu kuitafiti kwa kina.
Ni muhimu kujua tunamkinga nani na kwa sababu ipi.
Ni muhimu kuyajua .madhara
Ni muhimu kujua gharama
Ni muhimu kutambua iwapo hakuna njia bora za kupambana na corona zaidi ya chanjo?

Yapo mengi mkuu
Sizungumzii conspiracies hapa mkuu,I am talking about hard science,acheni ujinga.Conspiracy iko wapi hapo.This is pure science.

Hao hao wanaotaka kuwaua kwa the so called C-19 ambayo infact ni bio weapon na OS, ndio wame wawekea concept ya conspiracies kwenye akili zenu,na ninyi bila kujua mmeishupalia, acheni ujinga.Wauaji na watesi wetu ndio wenye conspiracies kama hii ya C-19,sio sisi!Change your mindset.
 
Hizi drama za corona zinasisimua na kuchekesha sana.

Miezi michache nyuma, kulizuka wimbi kubwa la vifo vya viongozi wakubwa na watu mashuhuri — Tukaambiwa wamefariki kwa corona.

Muendelezo wa vifo ulichachamaa mpaka ukamkumba Rais John Magufuli. Naye "tukaaminishwa" amefariki kwa corona kinyume na taarifa rasmi ya daktari.

Tangu alipofariki Rais Magufuli, hatusikia tena kuhusu vifo vya vigogo wa serikali.

Tukaambiwa corona imeenda likizo (annual leave) na kwamba itarejea kwa makali hapo baadaye.

Pamoja na drama zote hizi za kuigiza, sisi wakazi wa Kariakoo siku zote tunasongamana na hakuna hata mmoja aliyeugua japo mafua ya bahati mbaya.

Hata yale mabarakoa sijayaona. Watu wanadunda tu.

Hakuna cha wimbi wala mawimbi. Kila siku watu wapo tu na wanaendelea na maisha yao wakiwa na afya zile zile.

Tukaambiwa linakuja wimbi sijui la pili. Wenyewe wanaita ati "second wave".

Hilo wimbi nalo likaja likatukuta vile vile na likaondoka likatuacha vile vile.

Hivi sasa tunaambiwa kuwa hilo wimbi limekimbilia India. Likipiga "rivasi" linarudi tena Tanganyika likiwa na maguvu mengi.

Bibi samia anatueleza habari za chanjo. Bila shaka ziko mbioni kuja.

Najiuliza, hizo chanjo anamdunga nani?

Sisi wakazi wa Kariakoo na kwingineko, wala hatuna ugonjwa wowote ule.

Tunapoelezwa kuhusu chanjo, tunahamaki!

Wale wajuzi wa corona hebu mtueleze, hizo chanjo mnamdunga nani?

Mnawadunga hawa hawa watu ninawaona wakiwa na afya tele kila siku?

Ama kuna wagonjwa mahali ambao hatujaambiwa kuhusu taarifa zao?
 
Sitaki kuenda huko kwenye conspiracy theories lakini ni muhimu kuitafiti kwa kina.
Ni muhimu kujua tunamkinga nani na kwa sababu ipi.
Ni muhimu kuyajua .madhara
Ni muhimu kujua gharama
Ni muhimu kutambua iwapo hakuna njia bora za kupambana na corona zaidi ya chanjo?

Yapo mengi mkuu
Mkuu sijui kwa nini watu wameamini kwamba C-19 is real.It is not.Ni kwamba hawa washenzi wametuletea masumu mengi mno kwenye vyakula,dawa, hewa,maji,nguo;wamebio-engineer bacteria na virus na sasa madhara yamefikia climax wanasema kuna Corona,it is stupid.Ni utapeli na illusion of grand magnitude.Na sisi sijui kwa nini tuko so blind,we have believed them.

Mkuu ukipata any respiratory problem tumia Hydroxychloroquine na Ivermectin,unapona tu haraka.Ukitumia protocols zao according to the WHO unajimaliza mwenyewe.
 
Hizi drama za corona zinasisimua na kuchekesha sana.

Miezi michache nyuma, kulizuka wimbi kubwa la vifo vya viongozi wakubwa na watu mashuhuri, tukaambiwa wamekufa kwa corona.

Muendelezo wa vifo ulichachamaa mpaka ukamkumba Rais John Magufuli. Naye "tukaaminishwa" amefariki kwa corona kinyume na taarifa rasmi ya daktari.

Tangu alipofariki Rais Magufuli, hatusikia tena kuhusu vifo vya vigogo wa serikali.

Tukaambiwa corona imeenda likizo (annual leave) na kwamba itarejea kwa makali hapo baadae.

Pamoja na drama zote hizi za kuigiza, sisi wakazi wa Kariakoo siku zote tunasongamana na hakuna hata mmoja aliyeugua japo mafua ya bahati mbaya.

Hata yale mabarakoa sijayaona. Watu wanadunda tu.

Hakuna cha wimbi wala mawimbi. Kila siku watu wapo tu na wanaendelea na maisha yao wakiwa na afya zile zile.

Tukaambiwa linakuja wimbi sijui la pili. Wenyewe wanaita ati "second wave".

Hilo wimbi nalo likaja likatukuta vile vile na likaondoka likatuacha vile vile.

Hivi sasa tunaambiwa kuwa hilo wimbi limekimbilia India. Likipiga "rivasi" linarudi tena Tanganyika likiwa na maguvu mengi.

Bibi samia anatueleza habari za chanjo. Bila shaka ziko mbioni kuja.

Najiuliza, hizo chanjo anamdunga nani?

Sisi wakazi wa Kariakoo na kwingineko, wala hatuna ugonjwa wowote ule.

Tunapoelezwa kuhusu chanjo, tunahamaki!

Wale wajuzi wa corona hebu mtueleze, hizo chanjo mnamdunga nani?

Mnawadunga hawa hawa watu ninawaona wakiwa na afya tele kila siku?

Ama kuna wagonjwa mahali ambao hatujaambiwa kuhusu taarifa zao?
ni suala la muda tu, nilijua tu tunapoelekea sooner or later Chanjo itakuja maana mwenye misimamo yake alishaenda, Kweli Magu tunakukumbuka sana mzee
 
Mkuu sijui kwa mini watu wameamini kwamba C-19 is real.It is not.Ni kwamba hawa washenzi wametuletea masumu mengi mno kwenye vyakula,dawa, hewa,maji,nguo;wamebio-engineer bacteria na virus na sasa madhara yamefikia climax wanasema kuna Corona,it is stupid.Ni utapeli na illusion of grand magnitude.Na sisi sijui kwa nia tuko so blind.

Mkuu ukipata any respiratory problem tumia Hydroxychloroquine na Ivermectin,unapona tu haraka.Ukitumia protocols zao according to the WHO unajimaliza mwenyewe.
mbaya zaidi wataalamu wetu wanaacha wagonjwa wafe kwa complications zinazoweza kutibika kisa wamekuwa brainwashed na covid.
 
Back
Top Bottom