Rais Samia akiwasili nchini Urusi kwa ziara ya kitaifa

Rais Samia akiwasili nchini Urusi kwa ziara ya kitaifa

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
557
Reaction score
1,039
Haikuwa wakati muafaka kwenda Urusi. Putin anaweza asiwe wa kudumu. Makubalianonyoyote kati ya Samia na Putin yanaweza kuwa null and void baada ya muda mfupi sana,na Samia akawa ametengeneza rift na kiongozi atakaefuata baada ya Putin

1780424197001.png
 
Kama Samia angekuwa na busara katika geopolitics, angetambua kwamba sasa sio wakati muafaka wa kufanya ziara ya Urusi. Hii ziara nahisi itakuwa ni Putin kamshawishi. Anatumiwa bila kutambua.
Muwe mnazingatia kauli za viongozi,ni juzi tu Samia alisema ni Bora kuwapa watu wa mashariki uwekezaji kwenye rasilimali maana wa magharibi hujifikiria wao tu,Ile ilikua alert kuwa tunaelekea mashariki
 
Hongera Mama kuupiga mwingi kimataifa
Eeeh kumbe vi hippopotumus viko vingi. Akili zote ni za kwenye maji
Muwe mnazingatia kauli za viongozi,ni juzi tu Samia alisema ni Bora kuwapa watu wa mashariki uwekezaji kwenye rasilimali maana wa magharibi hujifikiria wao tu,Ile ilikua alert kuwa tunaelekea mashariki
Maduro si alikuwa anasema hivyo hivyo. Ni upuuzi ka nchi maskini, kamejaa rushwa, kanaongozwa na wajinga wakiongozwa na Form IV ya zero eti kutaka kushindana na akili kubwa ya Magharibi
 
Muwe mnazingatia kauli za viongozi,ni juzi tu Samia alisema ni Bora kuwapa watu wa mashariki uwekezaji kwenye rasilimali maana wa magharibi hujifikiria wao tu,Ile ilikua alert kuwa tunaelekea mashariki
Na wewe unawaza kama Samia - myopically. Tunachosema hapa ni timing. Putin? Una certainty kiasi gani kwamba Putin ataendelea kuwa raisi wa Urusi in the next two years kiasi uende kutiliane sahihi mikataba ya miaka 10 ijayo? Na asipokuwapo, ukaribu na support yako kwa Putin ina-athirije uhusiano wako na atakaefuata baada ya Putin?

Hata Ramaphosa wa SA nikiwa raisi wa Tanzania nitamweka kando kwa sasa. Kuna a lot of uncertainty na uwepo wake kama raisi ndani ya miezi sita ijayo.

Kama ni kuwekeza ili kuwa-spite western countries, angeenda China basi, au North Korea
 
Eeeh kumbe vi hippopotumus viko vingi. Akili zote ni za kwenye maji

Maduro si alikuwa anasema hivyo hivyo. Ni upuuzi ka nchi maskini, kamejaa rushwa, kanaongozwa na wajinga wakiongozwa na Form IV ya zero eti kutaka kushindana na akili kubwa ya Magharibi
Magharibi Wana akili kubwa au waporaji tu?!..akili kubwa ulazimishe wanaume kuphilana!?..ufundishe watoto wa darasa la kwanza kuthombana!?

Huyo Maza ana masters toka university of Manchester,unamfikia kielimu?
 
Na wewe unawaza kama Samia - myopically. Tunachosema hapa ni timing. Putin? Una certainty kiasi gani kwamba Putin ataendelea kuwa raisi wa Urusi in the next two years kiasi uende kutiliane sahihi mikataba ya miaka 10 ijayo? Na asipokuwapo, ukaribu na support yako kwa Putin ina-athirije uhusiano wako na atakaefuata baada ya Putin?

Hata Ramaphosa wa SA nikiwa raisi wa Tanzania nitamweka kando kwa sasa. Kuna a lot of uncertainty na uwepo wake kama raisi ndani ya miezi sita ijayo.

Kama ni kuwekeza ili kuwa-spite western countries, angeenda China basi, au North Korea
Anatiliana Saini na Putin au na urusi?..huwa mnawaza nini?
 
Anatiliana Saini na Putin au na urusi?..huwa mnawaza nini?
Huelewi siasa za kimataifa. Mnapotiliana sahihi mkataba wa ushirikiano, haina maana mmeanza ushirikiano katika context ya liability. Ina maana umefungua tu milango ya ushirikiano kuingia specific mikataba. Raisi anaekuja anaweza kuifunga yote.

Yaani Putin atiliane sahihi mkataba na Samia wa ushirikiano katika ulinzi na kuuziana silaha, halafu raisi anayefuata Urusi akatae kushirikiana na Tanzania utamwambia nina mkataba tulisaini na Putin? Kama Samia ana washauri kama wewe basi sishangai tena.
 
Back
Top Bottom