rais samia urusi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Mwendeshaji, Geeta Mohan "We'll come back to your goals on Ukraine, but I'll have to ask you this, Madam President. Amid sanctions, you are wanting to do and increase business with Russia. How are you going to circumvent or bypass the sanctions?" Rais Samia Suluhu Hassan "Ah, thank you...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Samia Urusi imelenga kupanua fursa, si kubadili washirika wa maendeleo

    Anaandika Gulatone Masiga Katika siku za karibuni, ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan, nchini Urusi imeibua mijadala mbalimbali kuhusu mwelekeo wa sera ya mambo ya nje ya Tanzania. Wapo wanaoona kuwa hatua hiyo inaweza kutafsiriwa kama ishara...
  3. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Samia nchini Urusi na "geopolitical diplomatic shift" ya dunia

    Dr.Zack June 2,2026.06:54AM. Baada ya Serikali ya Tz jana kutangaza kuwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan kesho June 3,2026 anaanza ziara ya siku mbili Nchini Urusi ilinifurahisha sana. Hii inaweza kuwa ni ziara bora zaidi na ya kimkakati sana tangu Mh Rais Samia Suluhu Hassan aingie Ikulu baada ya...
  4. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akiwasili nchini Urusi kwa ziara ya kitaifa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili nchini Urusi kwa ziara ya Kitaifa itakayoanza tarehe 3 hadi 5 Juni, 2026 kwa mualiko wa Rais wa Shirikisho la Urusi, Mheshimiwa Vladimir Putin. Soma Pia: Rais Samia kufanya ziara nchini Urusi kuanzia Juni 3...
Back
Top Bottom