APA CHICAGO
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 259
- 293
Kama Kuna sector mhe Rais Samia Suluhu Hassan ameitendea haki ni sector ya elimu, kwa kweli amejenga madarasa mengi Kila Kona ya nchi yetu bila upendeleo wowote.
Hajaishia hapo lkn pia ameamua kujenga shule maalumu za tarafa huko Kanda ya ziwa nimekuta shule hizi zinajengwa kwa Kasi ya ajabu.
Nilijaribu kumuuliza mtu mmoja aliyekuwa site akasema maelekezo nikuwa shule hizo zinapaswa kufunguliwa mwanzo wa mwezi May 2022.
Hongera Rais wetu mama Samiah Suruhu Hassan kwa kujali elimu yetu.Kazi iendelee.
Hajaishia hapo lkn pia ameamua kujenga shule maalumu za tarafa huko Kanda ya ziwa nimekuta shule hizi zinajengwa kwa Kasi ya ajabu.
Nilijaribu kumuuliza mtu mmoja aliyekuwa site akasema maelekezo nikuwa shule hizo zinapaswa kufunguliwa mwanzo wa mwezi May 2022.
Hongera Rais wetu mama Samiah Suruhu Hassan kwa kujali elimu yetu.Kazi iendelee.