imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,036
Asee we jamaa bure kabisa.Hebu orodhesha mambo ya msingi aliyoyasikiliza hadi sasa ambayo yanafanya awe na sifa ya usikivu.
Asee we jamaa bure kabisa.Hebu orodhesha mambo ya msingi aliyoyasikiliza hadi sasa ambayo yanafanya awe na sifa ya usikivu.
Sasa kama huna mambo ambayo unaweza kuyataja ambayo ameyafanya huyu Mama kuonesha kuwa ni msikivu sasa hiyo sifa ya usikivu ameipata vp? Huoni hapo wewe ndio bure?Asee we jamaa bure kabisa.
Ndugu yangu Mataga juzi tu nimetoka kwenye Ban kwahiyo usinitafutie nyingineSasa kama huna mambo ambayo unaweza kuyataja ambayo ameyafanya huyu Mama kuonesha kuwa ni msikivu sasa hiyo sifa ya usikivu ameipata vp? Huoni hapo wewe ndio bure?
Mbona zinatolewa kila siku au ww hufatilii?Mama Samia atoe ajira 40,000 alizoahidi mei mosi. Vijana huku wana hali mbaya sana. Tumesomesha kwa gharama kubwa halafu wadogo zetu wanaendesha bodaboda!!!!
Hi to eNdugu yangu Mataga juzi tu nimetoka kwenye Ban kwahiyo usinitafutie nyingine
Acha u.senge hizo ajira zinatolewa m.kund.uni kwako? Tangu 2015.Mbona zinatolewa kila siku au ww hufatilii?
Duh! HayaIkusaidie nn?
Sasa mimi inanihusu nini? nenda basi kamlalamikie Mama maana ni msikivu.Ndugu yangu Mataga juzi tu nimetoka kwenye Ban kwahiyo usinitafutie nyingine
Pia msisahau na Mloganzila, Mkapa Hospital, Chuo Kikuu cha Dodoma (kinachukua zaidi ya vijana elfu 40), daraja la Kigamboni, Mwendokasi, barabara zilizompatia umaarufu aliyekuwa waziri wake wa ujenzi, Terminal III (JKNIA), nk ,nk.Usidharau sana viongozi wako, hiyo hospitali ni nguvu ya Awamu ya nne.
Hawawezi kuwa na ufuatiliaji kama wa Awamu nyinginezo lakini wana kitu fulani very positive kwa taifa.
Sijui umri ndio tatizo?Yalele Kuwait kwa Saddam 😂
Do alimuua nano ndugu4Yaleyale Kuwait kwa Saddam
Ila heli yetu tuna huyu mama nchi imepunzika mauaji. Mwendawazimu alikua anaua kila uchao.
Manji yupo wapiYaleyale Kuwait kwa Saddam
Ila heli yetu tuna huyu mama nchi imepunzika mauaji. Mwendawazimu alikua anaua kila uchao.
Siyo kweli. Alichosema Rais leo ni kuifanya JKCI iwe ya Kimataifa katika matibabu ya kibingwa. Na amefurahi kusikia hiyo orodha ya Mataifa raia wao kutibiwa nchini.