peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,827
- 21,445
Ambao ni sawa na wakati wa SSHIlianza wakati wa JK
Ambao ni sawa na wakati wa SSHIlianza wakati wa JK
Oh sawa tuAmbao ni sawa na wakati wa SSH
Kuna tofauti ya Corona na ugonjwa wa moyo!Kuna kitu bado hakiingii akilini. Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete inasifika sana au inasifiwa sana na Serikali kuwa inao madaktari bingwa na vifaa vya kisasa.
Sasa ikawaje basi Magufuli akafa kwa tatizo la "moyo" tena akiwa hospitali ya Mzena ?
Kwanini Magufuli alipopata matatizo ya moyo hakupelekwa hapa kwenye Taasisi hii ya Moyo Jakaya Kikwete yenye madaktari bingwa na vifaa vya kisasa?????
Kama zitakuwa mpya, zitaongezea kwenye ile 2,700 itakuwa poa sana.Hizi zilizosemwa hapa ni mpya au zile ambazo muda wake wa maombi ushapita?View attachment 1816199
Ngoja tusubiri mkuu maana hii ni siasaKama zitakuwa mpya, zitaongezea kwenye ile 2,700 itakuwa poa sana.
Usidharau sana viongozi wako, hiyo hospitali ni nguvu ya Awamu ya nne.Usinikumbushe awamu ya pili na ya nne mkuu.
Kanzu inauliziwa Mecca sio?.😂😂Unauliza Utapeli Abuja / Lagos Nigeria?
Nadhani Itakuwa ni ile 2,726 ( TAMISEMI ) + 455 ( AFYA ) siyo mpya.Ngoja tusubiri mkuu maana hii ni siasa
HayaUsiwe mtumwa wa fedha au financial mercenary yaani kila jambo unalithaminisha kifedha tu. Thaminisha na mambo mengine kama kuokoa maisha, kurahisisha matibabu, kuongeza ajira, ujuzi na maarifa,kupunguza umaskini,utegemezi wa nje,kuitangaza nchi n.k.
Kwa hiyo upigaji in action? Maisha mafupi haya.Mtambo dhamani yake ni million 120. Sherehe ya kuuzindua mtambo huo ni million 150.
Kinamama wa kiunguja na kipemba hawawezi kusema kuongeza ni sawa na zile R na L zilivyomtesa JPM.Kwanini Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan kutamka vizuri neno Kuongeza linamshinda na badala yake hutamka ( husema ) Kuengeza mara kwa mara tu?
Bado jumla haiko sawa, hapo jumla ni 3181.Nadhani Itakuwa ni ile 2,726 ( TAMISEMI ) + 455 ( AFYA ) siyo mpya.
Mambo yanaendelea huko tufuatilie kasi ni ile ile kazi iendelee.
========
Rais Samia Suluhu ameongoza shughuli za kuzindua Mitambo na kwa sasa zoezi linaloendelea salamu za watu mbali mbali. Alianza Professa Janabi ambae ametambulisha watu wote anaofanya nao kazi kila siku. Dkt. Janabi ametambulisha madaktari Bingwa wa Moyo nchini na kuelezea 'succession plan' kwenye taasisi yao endapo yeye ataondoka ama baadhi ya watu katika taasisi hiyo.
Baada ya Dkt. Janabi alifata Mkuu wa Mkoa wa Dar, Amos Makalla ambae ameongea kwa mara ya kwanza leo mbele ya Rais tangu kuteuliwa. Amos Makalla amemshukuru Rais Samia kumteua kuwa mkuu wa Mkoa wa Dar na kusema kwake ni nyumbani sehemu aliyozaliwa na kukulia. Makalla ameahidi kuendelea kukomesha Ujambazi Dar es Salaam.
Kisha akafata mkuu wa bodi ya Taasisi ya Jakaya Kikwete na kuelezea ndoto zake za kutibu magonjwa ya Moyo nchini na wengine kumkejeli mpaka ndoto zake kuwa kweli. Mwenyekiti ameelezea ndoto yake ya kuweza kuwa na watu mikoani watakaokuwa na uwezo wa kutibu magonjwa ya Moyo.
Anaongea Rais Samia na anasema kazi anayozindua leo ilifanyika awamu ya Tano na kumpongeza Hayati Rais Magufuli. Rais Samia amesema ameona uchawi unaofanyika ndani ya taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete. Amesema Tanzania inajisifu kwa kupunguza vifo vya watoto.
Rais Samia amesema eneo la Jakaya Kikwete limesaidia kupunguza vifo vya watoto. Amesema wagonjwa 5959 wamepata matibabu na watu 11 pekee wamefariki baada ya Upasuaji ikiwa ni asilimia 0.2 pekee. Ameongeza kusema mitambo pekee haitoshi kwani inaongozwa na watu na kuitumia ipasavyo.
Anasema ukisikia kusimamishwa moyo unakufa kabla haujasimamishwa lakini ndani ya taasisi ya Jakaya Kikwete unasimamishwa mpaka masaa sita.
Ameeleza kuzibeba changamoto zao na wanaenda kuzifanyia kazi.
Rais Samia amesema mcheza kwao hutuzwa na serikali itaangalia Maslahi yao.
Rais Samia Suluhu amewaahidi Bilioni mbili kutoka Serikalini kama walivyoomba kwa ajili ya kujenga jengo jipya, wao Taasisi ya moyo watatoa bilioni 2 kukamilisha bilioni 4 kwa ajili ya ujenzi huo
Ila sijajua exactly Afya zilikuwa 455 au ngapiBado jumla haiko sawa, hapo jumla ni 3181.
Hizi zilizotajwa leo zipo 3337 zaweza kuwa mpya
Kwhyo wew unataka useme mtangulizi wake hajaacha kibubu kinono?Waungwana wanajua kuchagua maneno kwa hekima. Sifa huwapa wenzao. Ila wale wengine sasa - "yaani wameniachia kila kitu hewa; nchi ilikuwa imechezewa sana; yaani hata mwenda wazimu hawezi kusaini mkataba huu!"
Hiiiiii bagosha!
Ama kweli akili za kuambiwa changamoto na za kwako.
Hebu orodhesha mambo ya msingi aliyoyasikiliza hadi sasa ambayo yanafanya awe na sifa ya usikivu.Tunajua kuwa CCM imetuchukuaa Utumwa kwahiyo bora huyu Msikivu kuliko lile jinamizi
Sukuma Genge na lahaja za kiswahili wapi na wapi?Kwhyo wew unataka useme mtangulizi wake hajaacha kibubu kinono?
JK aliiacha nchi inanuka rushwa hazina hamna, sasa ulitaka uungwana kusema yasiyo kuwepo...
Mmeanza kusema ukweli? Wakati Mwendazake anazindua miradi iliyoanzishwa na JK mlimpamba yeye binafsi mkiamaanisha kaianzisha yeye! Hata alipoazindua iliyowahi kuzinduliwa na Mtangulizi wake bado mlipisha shangwe za sifa. Leo mmeachiwa toka kifungo cha fikra mnatueleza mapya?Mwinyi alizindua ya Nyerere, Mkapa akazindua ya Mwinyi, Kikwete akazindua ya Mkapa na marehemu Magufuli akazindua ya Kikwete hiyvo si ajabu Samia nae kufungua ya Magufuli wote wanatekeleza ilani moja ya chama cha mapinduzi kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania!
Kama corona basi angepewa madaktari waliyokuwa wanamtibu Mzee Mpango hadi akapona.Kuna tofauti ya Corona na ugonjwa wa moyo!