Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 297
- 285
Kapokelewa na bi. Shamba wa mwembetogwa hapo jana.Mbona Putin hajaenda kumpokea!
■Atahutubia jukwaa la kimataifa la uchumi la St. Petersburg
■Anatarajiwa kushiriki kongamano la uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi
■Atatunukiwa shahada ya heshima, kunadi fursa za dira 2050
View attachment 3600318
View attachment 3600319
Endelea kuotaNi wakati mwafaka sasa ukraine urushe ndegenyuki zake kuzielekeza alipi sa100 huko urusi
Kila la kheri mh.Rais Dr Samia Suluhu Hassan 🔥■Atahutubia jukwaa la kimataifa la uchumi la St. Petersburg
■Anatarajiwa kushiriki kongamano la uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi
■Atatunukiwa shahada ya heshima, kunadi fursa za dira 2050
View attachment 3600318
View attachment 3600319
Kama USA haipo hilo siyo jukwaa la kimataifa hicho ni kijiwe cha Putin na machawa wakeAtahutubia jukwaa la kimataifa la uchumi la St. Petersburg
😊■Atahutubia jukwaa la kimataifa la uchumi la St. Petersburg
■Anatarajiwa kushiriki kongamano la uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi
■Atatunukiwa shahada ya heshima, kunadi fursa za dira 2050
View attachment 3600318
View attachment 3600319