Roho Mbaya
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 777
- 670
Anasimama na Wananchi gani? Wamachinga mambo hovyo, Bei vitu mtaani haikamatiki na tozo kila konaRais Samia Suluhu Hassan amesema kuna makundi ndani ya serikali ambayo wanafanya wanayoyajua na kulaumu kuwa ufisadi umerudi awamu ya sita wakati wao ndio wako hovyo
Amesema mambo ya hovyo hayajafanyika hawamu ya sita yamefanyika huko nyuma na gari bovu wanaliangushia awamu ya sita, jambo ambalo hatokubali
Rais amesema hatakubali jambo hilo kwa kuwa ameapa kusimamia za wananchi na atasimama na wananchi