Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 8,227
- 14,194
Ushauri kutoka kwa Waziri wastaafu Msuya na Warioba wamekupa siri kuu
Wananchi wanahitaji maendeleo sio kuumizana
Anza na kesi ya Mbowe Mahakama zinakuingiza mkengd
Serikali ni kubwa mno
Punguza viongozi utawala
Unaowateua hawana kazi ndio maana wanashinda wakizunguka kuongea upumbavu
EU Bunge uyumbe umewafikia wahusika.....
Take action sio kulalamika tuuuuuu then what?
Wananchi wanahitaji maendeleo sio kuumizana
Anza na kesi ya Mbowe Mahakama zinakuingiza mkengd
Serikali ni kubwa mno
Punguza viongozi utawala
Unaowateua hawana kazi ndio maana wanashinda wakizunguka kuongea upumbavu
EU Bunge uyumbe umewafikia wahusika.....
Take action sio kulalamika tuuuuuu then what?