Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 601
- 1,330
Amekuta uozo mkubwa, kwani amekuja kutoka wapi, msukule ?Mama amekuta uozo mkubwa ambao chanzo chake Ni awamu ya Tano,
Amekuta uozo mkubwa, kwani amekuja kutoka wapi, msukule ?Mama amekuta uozo mkubwa ambao chanzo chake Ni awamu ya Tano,
Huyu ni mmojawapo anaemsumbua Raisi wetu Samia Suluhu Hassan.Hiki kiberenge Ndo kihuni nambari wani nchini.
Hiki ndicho kilichosimamia kidete manunuzi haramu ya Binadamu kuelekea uchaguzi utadhani bado tuko enzi za slave trade.View attachment 2032447
Anapaswa adhibitiwe mapema Sana.Huyu ni mmojawapo anaemsumbua Raisi wetu Samia Suluhu Hassan.
Ni kweli achague kusimama na sisi wananchi na aachane kusimama na wana CCM ambao wengi wao ni wanafiki, kula na kuliza ndiyo tabia yao.
Maana wana CCM washaona kama kwamba mama ni mali yao..kila siku kumkosoa kosoa, ilo aongoze nchi wanavyotaka wao.. hapana.
Medard?? 😳Chief H bhana, kila jambo Na kila tope anataka kuaminisha kuwa yamesababishwa Na mwanaChato
Hamumuelewi huyu mama,anaposema awamu zilizopita anamaanisha awamu ya Kikwete,maana awamu ya tano ni yake na Mwendazake.😄😄😄😄Mama amekuta uozo mkubwa ambao chanzo chake Ni awamu ya Tano,
Kwaiyo ana kazi kubwa yakuondoa huo uozo, nakutimua mabaki yote ya awamu iliyopita ambao wanamkwamisha kwa namna moja au nyingine
Hamumuelewi huyu mama,anaposema awamu zilizopita anamaanisha awamu ya Kikwete,maana awamu ya tano ni yake na Mwendazake.Mama amekuta uozo mkubwa ambao chanzo chake Ni awamu ya Tano,
Kwaiyo ana kazi kubwa yakuondoa huo uozo, nakutimua mabaki yote ya awamu iliyopita ambao wanamkwamisha kwa namna moja au nyingine
Huyu anatakiwa achakazwe Kisheria kama Olesabaya.Anapaswa adhibitiwe mapema Sana.
Uyu Ndo alikua injinia wa wasiojulikana.
Uyu Ndo alikua anajitapa kwa wananchi kua antembelea vieite.
Uyu Ndo kibaka nambari wani
Kwa hiyo hayo makundi ni masalia ya mwendazake. Sawa Sukuma Gang wanamzoom tu.Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna makundi ndani ya serikali ambayo wanafanya wanayoyajua na kulaumu kuwa ufisadi umerudi awamu ya sita wakati wao ndio wako hovyo
Amesema mambo ya hovyo hayajafanyika hawamu ya sita yamefanyika huko nyuma na gari bovu wanaliangushia awamu ya sita, jambo ambalo hatokubali
Rais amesema hatakubali jambo hilo kwa kuwa ameapa kusimamia za wananchi na atasimama na wananchi
Mama alishasema Awamu yake ni ya sita acha kupotosha ukweli.Hamumuelewi huyu mama,anaposema awamu zilizopita anamaanisha awamu ya Kikwete,maana awamu ya tano ni yake na Mwendazake.😄😄😄😄
Magonjwa Mtambuka mbona umesahau kupiga Dislikes?Mama ameanza kushtuka,Mataga wanatakiwa wasafishwe.
Unajua majukumu ya makamu wa rais?Mama alishasema Awamu yake ni ya sita acha kupotosha ukweli.
Na akazikwa nazoserikali ya awamu ya tano imefanya ufisadi mkubwa sana Rest in hell Jpm
japo ⌚💯 na yeye ni Nyumbu ila jpm kaiba sana hela kapeleka uchatoni