Rais Samia muondoe DAS wa Arusha

Waziri2025

Senior Member
Sep 2, 2019
148
379
Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Arusha kupitia kitengo kidogo Cha Malalamiko kinachosimamiwa na katibu tawala wilayani hapo,kimegeuka mahakama kwa kutoa maamuzi ya ovyo yaliyojaa Rushwa huku Haki ikipindishwa kwa maslahi yao.

Hatua hiyo imekuja kutokana na migogoro kadhaa inayoletwa katika dawati hilo la malalamiko chini ya katibu tawala wa wilaya hiyo(Das),Hanan Bafagih ambaye amekuwa alitoa maamuzi ya ovyo yenye maslahi yake bila kuzingatia kwamba Kuna nafasi nyingine iwapo mlalamikaji/ mlalamikiwa hakuridhika.

Hivi karibuni katibu tawala huyo ,Hanan Bafagih mwenye asili ya kiarabu aliamuru kubomolewa kwa banda lililojengwa katika eneo la mgogoro baada ya kusikiliza mgogoro wa ndugu baina ya Joseph Elisha na Mama yake mzazi Endesh Elisha.

Mama Endesh alikuwa akimlalamikia mwanaye (Joseph) kuvamia eneo lake. Hata hivyo Joseph katika utetezi wake alidai kwamba suala hilo lilishasikikizwa na wazee wa ukoo(Boma)pamoja a Baraza la kata ambao waliamua Banda hilo la ng'ombe wa kisasa lisibomolewe baada ya kujiridhisha kwamba eneo hilo marehemu alimkabidhi Joseph Kama Mtoto wa mwisho wa kiume kwa ajili ya kumtunza mama yake.

Pamoja na utetezi huo DAS hakuzingatia hata wosia wa marehemu unaoelekeza kwamba eneo hilo alikabidhiwa Mtoto wa mwisho ambaye ni Joseph, badala yake alitoa uamuzi wa kumwondoa kwa kubomoa Banda la Ng'ombe na kumtambua Mama yake (Endesh) kuwa ni mmiliki halali.

Pamoja na hayo hoja ya Msingi hapa mamlaka ya ofisi ya DAS kwenda kubomoa makazi ya mtu inatoka wapi ,nijuavyo Mimi mahakama pekee ndio yenye mamlaka ya kutoa maamuzi kama hayo tena kwa kuzingatia order ya mahakama.

Huu ni uonevu na matumizi mabaya ya ofisi yake lazima Das atambue mipaka yake kitengo cha Malalamiko hakina mamlaka ya kubomoa makazi ya mtu.

Tunaomba Rais Samia Suluhu aangalie utendaji wa ofisi ya DAS Arusha inanuka Rushwa na ikiwezekana amwondoshe Arusha, maana serikali ya leo sio ya Jana.

IMG_20210628_132353_213.jpg
IMG_20210628_125724_426.jpg
IMG_20210628_113909_024.jpg

View attachment 1835613
 
Wewe mleta mada acha majungu. Wewe ungekuwa ndio hiyo DAS unatatua mgogoro wa ardhi wa mtu na mama yake ungefanyaje? Kwanza huyo mtoto angekuwa na busara, kama ardhi aliachiwa na baba ili amuhudumie mama na mama hataki, angenuachia mama hiyo ardhi halafu akatafute ishu nyingine.

Kitendo tu cha kupelekana serikalini mama na mtoto kwa ardhi ya baba, kisha mtoto anakomaa ni aibu kwa mtoto. Hata mimi ningekuwa ndio muamuzi hapo, ningesimama zaidi upande wa mama kuliko mtoto.

Kwa hiyo mtoto anataka akasimame mahakamani na mama yake kuhusu ardhi ya baba? Dah!
 
Huko arusha ardhi ni shida mtauana bure na huyo kijana apambane atafute vyake .....anakomaa na mama ardhi yabbaba ni aibu
Hata siyo shida ulimbukeni wa wawatu tu kutaka kujazana mjini, nchi ya mji maeneo makubwa sana!

Nawashangaa vijaana badala ya kutoka nje ya mji huko wakashike maeneo wanangangana na uridhi
 
Me naona DAS yupo sawa kabisa! Unangangania je eneo la mzazi wako akiwa hai?

Huu ujinga wa kusubiria kuridhi mali za wazazi ni upumbavu mtupu!

Mwache mama alichovuna na mume wake akae kwa furaha! Huyu anajitafutia laana tu! DAS alitumia hekima tu wala hakuna rushwa hapo!
 
Hakuna uonevu hapo...mtoto Hana adabu anapelekaje malalamiko serikalini dhidi ya make?
Suala siyo kumuondoa DAS kwa sasa kuna haja ya kuwabadilisha ma DAS wote na ma DED wote nchi nzima ili kazi ziendelee kwa ufanisi. Tunachelewa kuinua uchumi wetu ulioporomoka. Safar hii usimbakize DED hali mbaya.
 
Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Arusha kupitia kitengo kidogo Cha Malalamiko kinachosimamiwa na katibu tawala wilayani hapo,kimegeuka mahakama kwa kutoa maamuzi ya ovyo yaliyojaa Rushwa huku Haki ikipindishwa kwa maslahi yao.

Hatua hiyo imekuja kutokana na migogoro kadhaa inayoletwa katika dawati hilo la malalamiko chini ya katibu tawala wa wilaya hiyo(Das),Hanan Bafagih ambaye amekuwa alitoa maamuzi ya ovyo yenye maslahi yake bila kuzingatia kwamba Kuna nafasi nyingine iwapo mlalamikaji/ mlalamikiwa hakuridhika.

Hivi karibuni katibu tawala huyo ,Hanan Bafagih mwenye asili ya kiarabu aliamuru kubomolewa kwa banda lililojengwa katika eneo la mgogoro baada ya kusikiliza mgogoro wa ndugu baina ya Joseph Elisha na Mama yake mzazi Endesh Elisha.

Mama Endesh alikuwa akimlalamikia mwanaye (Joseph) kuvamia eneo lake. Hata hivyo Joseph katika utetezi wake alidai kwamba suala hilo lilishasikikizwa na wazee wa ukoo(Boma)pamoja a Baraza la kata ambao waliamua Banda hilo la ng'ombe wa kisasa lisibomolewe baada ya kujiridhisha kwamba eneo hilo marehemu alimkabidhi Joseph Kama Mtoto wa mwisho wa kiume kwa ajili ya kumtunza mama yake.

Pamoja na utetezi huo DAS hakuzingatia hata wosia wa marehemu unaoelekeza kwamba eneo hilo alikabidhiwa Mtoto wa mwisho ambaye ni Joseph, badala yake alitoa uamuzi wa kumwondoa kwa kubomoa Banda la Ng'ombe na kumtambua Mama yake (Endesh) kuwa ni mmiliki halali.

Pamoja na hayo hoja ya Msingi hapa mamlaka ya ofisi ya DAS kwenda kubomoa makazi ya mtu inatoka wapi ,nijuavyo Mimi mahakama pekee ndio yenye mamlaka ya kutoa maamuzi kama hayo tena kwa kuzingatia order ya mahakama.

Huu ni uonevu na matumizi mabaya ya ofisi yake lazima Das atambue mipaka yake kitengo cha Malalamiko hakina mamlaka ya kubomoa makazi ya mtu.

Tunaomba Rais Samia Suluhu aangalie utendaji wa ofisi ya DAS Arusha inanuka Rushwa na ikiwezekana amwondoshe Arusha, maana serikali ya leo sio ya Jana.

View attachment 1835559View attachment 1835561View attachment 1835562
View attachment 1835613
Marijuana a.k.a cha Arusha haijawahi kumuacha mtu salama.Sisi wengine Mzazi ata akikohoa tunaitika,wewe unamshitaki Mama yako,aibu! Mwambie jamaa yako ang'ang'anie baraka ya Mama ndiyo mali kubwa kuliko hilo banda!
 
Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Arusha kupitia kitengo kidogo Cha Malalamiko kinachosimamiwa na katibu tawala wilayani hapo,kimegeuka mahakama kwa kutoa maamuzi ya ovyo yaliyojaa Rushwa huku Haki ikipindishwa kwa maslahi yao.

Hatua hiyo imekuja kutokana na migogoro kadhaa inayoletwa katika dawati hilo la malalamiko chini ya katibu tawala wa wilaya hiyo(Das),Hanan Bafagih ambaye amekuwa alitoa maamuzi ya ovyo yenye maslahi yake bila kuzingatia kwamba Kuna nafasi nyingine iwapo mlalamikaji/ mlalamikiwa hakuridhika.

Hivi karibuni katibu tawala huyo ,Hanan Bafagih mwenye asili ya kiarabu aliamuru kubomolewa kwa banda lililojengwa katika eneo la mgogoro baada ya kusikiliza mgogoro wa ndugu baina ya Joseph Elisha na Mama yake mzazi Endesh Elisha.

Mama Endesh alikuwa akimlalamikia mwanaye (Joseph) kuvamia eneo lake. Hata hivyo Joseph katika utetezi wake alidai kwamba suala hilo lilishasikikizwa na wazee wa ukoo(Boma)pamoja a Baraza la kata ambao waliamua Banda hilo la ng'ombe wa kisasa lisibomolewe baada ya kujiridhisha kwamba eneo hilo marehemu alimkabidhi Joseph Kama Mtoto wa mwisho wa kiume kwa ajili ya kumtunza mama yake.

Pamoja na utetezi huo DAS hakuzingatia hata wosia wa marehemu unaoelekeza kwamba eneo hilo alikabidhiwa Mtoto wa mwisho ambaye ni Joseph, badala yake alitoa uamuzi wa kumwondoa kwa kubomoa Banda la Ng'ombe na kumtambua Mama yake (Endesh) kuwa ni mmiliki halali.

Pamoja na hayo hoja ya Msingi hapa mamlaka ya ofisi ya DAS kwenda kubomoa makazi ya mtu inatoka wapi ,nijuavyo Mimi mahakama pekee ndio yenye mamlaka ya kutoa maamuzi kama hayo tena kwa kuzingatia order ya mahakama.

Huu ni uonevu na matumizi mabaya ya ofisi yake lazima Das atambue mipaka yake kitengo cha Malalamiko hakina mamlaka ya kubomoa makazi ya mtu.

Tunaomba Rais Samia Suluhu aangalie utendaji wa ofisi ya DAS Arusha inanuka Rushwa na ikiwezekana amwondoshe Arusha, maana serikali ya leo sio ya Jana.

View attachment 1835559View attachment 1835561View attachment 1835562
View attachment 1835613
Marijuana a.k.a cha Arusha haijawahi kumuacha mtu salama.Sisi wengine Mzazi ata akikohoa tunaitika,wewe unamshitaki Mama yako,aibu! Mwambie jamaa yako ang'ang'anie baraka ya Mama ndiyo mali kubwa kuliko hilo banda!
 
Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Arusha kupitia kitengo kidogo Cha Malalamiko kinachosimamiwa na katibu tawala wilayani hapo,kimegeuka mahakama kwa kutoa maamuzi ya ovyo yaliyojaa Rushwa huku Haki ikipindishwa kwa maslahi yao.

Hatua hiyo imekuja kutokana na migogoro kadhaa inayoletwa katika dawati hilo la malalamiko chini ya katibu tawala wa wilaya hiyo(Das),Hanan Bafagih ambaye amekuwa alitoa maamuzi ya ovyo yenye maslahi yake bila kuzingatia kwamba Kuna nafasi nyingine iwapo mlalamikaji/ mlalamikiwa hakuridhika.

Hivi karibuni katibu tawala huyo ,Hanan Bafagih mwenye asili ya kiarabu aliamuru kubomolewa kwa banda lililojengwa katika eneo la mgogoro baada ya kusikiliza mgogoro wa ndugu baina ya Joseph Elisha na Mama yake mzazi Endesh Elisha.

Mama Endesh alikuwa akimlalamikia mwanaye (Joseph) kuvamia eneo lake. Hata hivyo Joseph katika utetezi wake alidai kwamba suala hilo lilishasikikizwa na wazee wa ukoo(Boma)pamoja a Baraza la kata ambao waliamua Banda hilo la ng'ombe wa kisasa lisibomolewe baada ya kujiridhisha kwamba eneo hilo marehemu alimkabidhi Joseph Kama Mtoto wa mwisho wa kiume kwa ajili ya kumtunza mama yake.

Pamoja na utetezi huo DAS hakuzingatia hata wosia wa marehemu unaoelekeza kwamba eneo hilo alikabidhiwa Mtoto wa mwisho ambaye ni Joseph, badala yake alitoa uamuzi wa kumwondoa kwa kubomoa Banda la Ng'ombe na kumtambua Mama yake (Endesh) kuwa ni mmiliki halali.

Pamoja na hayo hoja ya Msingi hapa mamlaka ya ofisi ya DAS kwenda kubomoa makazi ya mtu inatoka wapi ,nijuavyo Mimi mahakama pekee ndio yenye mamlaka ya kutoa maamuzi kama hayo tena kwa kuzingatia order ya mahakama.

Huu ni uonevu na matumizi mabaya ya ofisi yake lazima Das atambue mipaka yake kitengo cha Malalamiko hakina mamlaka ya kubomoa makazi ya mtu.

Tunaomba Rais Samia Suluhu aangalie utendaji wa ofisi ya DAS Arusha inanuka Rushwa na ikiwezekana amwondoshe Arusha, maana serikali ya leo sio ya Jana.

View attachment 1835559View attachment 1835561View attachment 1835562
View attachment 1835613
Haya mambo ya kupigania kitu ambacho sio chako. Nenda mbali tafuta cha kwako kama utaona mtu anakugusa
 
Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Arusha kupitia kitengo kidogo Cha Malalamiko kinachosimamiwa na katibu tawala wilayani hapo,kimegeuka mahakama kwa kutoa maamuzi ya ovyo yaliyojaa Rushwa huku Haki ikipindishwa kwa maslahi yao.

Hatua hiyo imekuja kutokana na migogoro kadhaa inayoletwa katika dawati hilo la malalamiko chini ya katibu tawala wa wilaya hiyo(Das),Hanan Bafagih ambaye amekuwa alitoa maamuzi ya ovyo yenye maslahi yake bila kuzingatia kwamba Kuna nafasi nyingine iwapo mlalamikaji/ mlalamikiwa hakuridhika.

Hivi karibuni katibu tawala huyo ,Hanan Bafagih mwenye asili ya kiarabu aliamuru kubomolewa kwa banda lililojengwa katika eneo la mgogoro baada ya kusikiliza mgogoro wa ndugu baina ya Joseph Elisha na Mama yake mzazi Endesh Elisha.

Mama Endesh alikuwa akimlalamikia mwanaye (Joseph) kuvamia eneo lake. Hata hivyo Joseph katika utetezi wake alidai kwamba suala hilo lilishasikikizwa na wazee wa ukoo(Boma)pamoja a Baraza la kata ambao waliamua Banda hilo la ng'ombe wa kisasa lisibomolewe baada ya kujiridhisha kwamba eneo hilo marehemu alimkabidhi Joseph Kama Mtoto wa mwisho wa kiume kwa ajili ya kumtunza mama yake.

Pamoja na utetezi huo DAS hakuzingatia hata wosia wa marehemu unaoelekeza kwamba eneo hilo alikabidhiwa Mtoto wa mwisho ambaye ni Joseph, badala yake alitoa uamuzi wa kumwondoa kwa kubomoa Banda la Ng'ombe na kumtambua Mama yake (Endesh) kuwa ni mmiliki halali.

Pamoja na hayo hoja ya Msingi hapa mamlaka ya ofisi ya DAS kwenda kubomoa makazi ya mtu inatoka wapi ,nijuavyo Mimi mahakama pekee ndio yenye mamlaka ya kutoa maamuzi kama hayo tena kwa kuzingatia order ya mahakama.

Huu ni uonevu na matumizi mabaya ya ofisi yake lazima Das atambue mipaka yake kitengo cha Malalamiko hakina mamlaka ya kubomoa makazi ya mtu.

Tunaomba Rais Samia Suluhu aangalie utendaji wa ofisi ya DAS Arusha inanuka Rushwa na ikiwezekana amwondoshe Arusha, maana serikali ya leo sio ya Jana.

View attachment 1835559View attachment 1835561View attachment 1835562
View attachment 1835613
Hivi inawezekana kweli uingie mgogoro wa ardhi na mama yako mzazi? ningekuwa huyo Dasi ningemtetea mama yake vile vile.Si akanunue ardhi,hiyo ilikuwa yao na mumewe.
 
We Josefu mkubwa hususani mama hakosei shika adabu yako.Mwachie bi mkubwa ajinafasi kwenye ardhi ya mumewe .We nenda hata Kawekapina - Tabora.Heka moja elfu kumi.
 
Mtoto anajitafutia mkosi, huwezi kugombana na Mama aliyekutunza tumboni mwake na akakuzaa.

Huyu chalii kama anaweza kumvimbia Mama mzazi inaonekana kwake kumharibu mtu ni kitendo cha sekunde tano tu.

Haya masuala ya kutoheshimu wazazi ndio yamewatia nuksi vijana wengi wa mikoa ya kanda ya ziwa, unakutana na mtu sehemu unaongea nae kwa hali ya kawaida tu lakini unauhisi unyama fulani wa ndani ya nafsi yake kumbe damu ya bibi aliyeuwawa kikatili inaendelea kumtesa.
 
Wewe mleta mada acha majungu. Wewe ungekuwa ndio hiyo DAS unatatua mgogoro wa ardhi wa mtu na mama yake ungefanyaje? Kwanza huyo mtoto angekuwa na busara, kama ardhi aliachiwa na baba ili amuhudumie mama na mama hataki, angenuachia mama hiyo ardhi halafu akatafute ishu nyingine.

Kitendo tu cha kupelekana serikalini mama na mtoto kwa ardhi ya baba, kisha mtoto anakomaa ni aibu kwa mtoto. Hata mimi ningekuwa ndio muamuzi hapo, ningesimama zaidi upande wa mama kuliko mtoto.

Kwa hiyo mtoto anataka akasimame mahakamani na mama yake kuhusu ardhi ya baba? Dah!
Mimi ningekuwa DAS, banda na ng'ombe ningelichoma moto na huyo Joseph angelikuwa anaripoti ofisini kila asubuhi kulamba mboko 12 kwa mwaka mzima! Toto kubwa ung'ang'ania urithi?
 
Back
Top Bottom