Rais Samia: Mikopo ya Wahisani ina Riba kubwa

Wangekuwa na akili wangezeuza rasilimali zetu kuwa pesa na miradi yote ingefanyika bila hata ya kuwaibia wananchi.
lakini kwakuwa hawana akili basi njia rahisi ya kupata pesa ni kuzichukua pesa zilizo kwenye mzunguko ili ufukara uenee zaidi kwa wananchi
 
Halafu utasikia baadhi ya watu humu hawataki kukiri kuwa Samia ni kiongozi wa ajabu, wanataka makosa ya Samia yabebwe na watu wengine licha ya yeye mwenyewe kujipambanua kila mara

Utasikia " Tatizo kuna watu fulani serikali (Sukuma gang) ndo wanamharibia mama kwa wananchi"

Ukweli ni kwamba,hakuna cha kundi wala nini , ni yeye mwenyewe ndo master plan wa yote yanayoendelea.

Ifike mahalo watu tutoke kwenye denial mode, tukubali tu kuwa tuna miaka minne au tisa ya kuchakarika kwelikweli.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia watanzania kwa sasa wahisani hawaleti misaada nchini, wanataka biashara ili kugawana faida

Amesema kwa sababu hiyo ni lazima tujinyang'anye wenyewe ili kufadhili miradi ya nchi hii

Ameyasema hayo alipokuwa Tegeta akisalimia wananchi akiwa katika safari ya kuelekea Bagamoyo kutengeneza filamu ya kuitangaza Tanzania

===
RAIS SAMIA: MIKOPO INA RIBA KUBWA

Rais Samia Suluhu Hassan amesema mikopo ina riba kubwa na misaada imepungua, hivyo ni lazima wananchi kujichanga ili kujenga nchi

Amesema ni heri kuchukua mikopo kidogo kufadhili miradi mikubwa kama ya reli na umeme

Ameyasema hayo alipokuwa Zinga mkoani Pwani akielekea Bagamoyo
kuliko waliochukua benki za biashara?
 
Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia watanzania kwa sasa wahisani hawaleti misaada nchini, wanataka biashara ili kugawana faida

Amesema kwa sababu hiyo ni lazima tujinyang'anye wenyewe ili kufadhili miradi ya nchi hii

Ameyasema hayo alipokuwa Tegeta akisalimia wananchi akiwa katika safari ya kuelekea Bagamoyo kutengeneza filamu ya kuitangaza Tanzania

===
RAIS SAMIA: MIKOPO INA RIBA KUBWA

Rais Samia Suluhu Hassan amesema mikopo ina riba kubwa na misaada imepungua, hivyo ni lazima wananchi kujichanga ili kujenga nchi

Amesema ni heri kuchukua mikopo kidogo kufadhili miradi mikubwa kama ya reli na umeme

Ameyasema hayo alipokuwa Zinga mkoani Pwani akielekea Bagamoyo
Kwahiyo mkopo wa Trillion 2 ni mdogo?
 
Halafu utasikia baadhi ya watu humu hawataki kukiri kuwa Samia ni kiongozi wa ajabu, wanataka makosa ya Samia yabebwe na watu wengine licha ya yeye mwenyewe kujipambanua kila mara

Utasikia " Tatizo kuna watu fulani serikali (Sukuma gang) ndo wanamharibia mama kwa wananchi"

Ukweli ni kwamba,hakuna cha kundi wala nini , ni yeye mwenyewe ndo master plan wa yote yanayoendelea.

Ifike mahalo watu tutoke kwenye denial mode, tukubali tu kuwa tuna miaka minne au tisa ya kuchakarika kwelikweli.
Unajua hata kipindi cha mwanzo cha utawala wa Magufuli watu walikuwa wanasema JK anaongoza nchi kutokea Msoga kwamba et Magufuli alikuwa kama remote tu, ila baadaye wajaachana hizo story hivyo na sasa itafika muda wataacha hizi story za sukuma gang.
 
Kwani wale wa Danish ambao ni wahisani wakubwa kabisa wanaofunga ubalozi wao nchini walitoa sababu gani? Sidhani kama hii kauli ina ukweli. Waseme tu hawawezi kufuata demokrasia. Wahisani wana masharti ambayo wanahofia yatawapoka madaraka na hivyo kunyang’anywa tonge mdomoni.

Wanaona ni bora kuendelea kukamua ng’ombe aliyekonda na wao waendelee na ma viete yao wakitafuna keki ya Taifa kwa kupokezana.
WaTanzania tuache tabia ya kupenda kuwa Tegemezi. Hakuna mtu anayemthamini masikini, hasa masikini asiyekuwa na ndoto ya kujikomboa katika hali yake. Wenyewe mmesikia mahela yaliyokusanywa kipindi hiki kifupi cha tozo za miamala ya simu. Tukijipanga tunaweza sio kusubiri hela za wafadhili tu, ambazo zinatolewa na masharti mengi - kama vile haki za mashoga nakadhalika. Marehemu JPM alisema mara nyingi - nchi hii siyo maskini. Serikali ikijipanga vizuri , matumizi mazuri ya pesa za serikali na kila mtanzania kulipa kodi- tutafika mbali. Nchi kama Denmark- wananchi wao wanalipa kodi kwa asilimia kubwa sana. Hapa kwetu ni asilimia ndogo sana ambao wanalipa kodi stahiki.
 
Kwani wale wa Danish ambao ni wahisani wakubwa kabisa wanaofunga ubalozi wao nchini walitoa sababu gani? Sidhani kama hii kauli ina ukweli. Waseme tu hawawezi kufuata demokrasia. Wahisani wana masharti ambayo wanahofia yatawapoka madaraka na hivyo kunyang’anywa tonge mdomoni.

Wanaona ni bora kuendelea kukamua ng’ombe aliyekonda na wao waendelee na ma viete yao wakitafuna keki ya Taifa kwa kupokezana.
Mkuu unataka tuendelee kuwategemea wahisani mpaka lini?
 
Kasi ya kuwaaminisha watanzania kuwa tozo zao ndio zinazojenga nchi ingeenda sambamba na kuwakemea watendaji wa serikali ambao ni wabadhirifu wa pesa za uma basi ingekuwa vyema sana.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia watanzania kwa sasa wahisani hawaleti misaada nchini, wanataka biashara ili kugawana faida

Amesema kwa sababu hiyo ni lazima tujinyang'anye wenyewe ili kufadhili miradi ya nchi hii

Ameyasema hayo alipokuwa Tegeta akisalimia wananchi akiwa katika safari ya kuelekea Bagamoyo kutengeneza filamu ya kuitangaza Tanzania

===
RAIS SAMIA: MIKOPO INA RIBA KUBWA

Rais Samia Suluhu Hassan amesema mikopo ina riba kubwa na misaada imepungua, hivyo ni lazima wananchi kujichanga ili kujenga nchi

Amesema ni heri kuchukua mikopo kidogo kufadhili miradi mikubwa kama ya reli na umeme

Ameyasema hayo alipokuwa Zinga mkoani Pwani akielekea Bagamoyo

Lazima tunyang'anyane? Je na vigogo kwenye kunyang'anywa?
 
Ni bora kuwa honest na kuzungumza ukweli kama huu kuliko kutupiga sound

Tunataka kuona na wewe rais ukifanya marekebisho ya sheria na katiba ili mshahara wako ukatwe kodi. Haikubaliki kuwa sisi tuwe ndo wakatwa kodi halafu wewe ni mtumiaji tu, huo ni unyonyaji
 
Kasi ya kuwaaminisha watanzania kuwa tozo zao ndio zinazojenga nchi ingeenda sambamba na kuwakemea watendaji wa serikali ambao ni wabadhirifu wa pesa za uma basi ingekuwa vyema sana.

Pia ingekuwa across the board na pia kupunguza gharama za serikali
 
Kwani wale wa Danish ambao ni wahisani wakubwa kabisa wanaofunga ubalozi wao nchini walitoa sababu gani? Sidhani kama hii kauli ina ukweli. Waseme tu hawawezi kufuata demokrasia. Wahisani wana masharti ambayo wanahofia yatawapoka madaraka na hivyo kunyang’anywa tonge mdomoni.

Wanaona ni bora kuendelea kukamua ng’ombe aliyekonda na wao waendelee na ma viete yao wakitafuna keki ya Taifa kwa kupokezana.
Kwani kuna ubaya kama tukiacha kuwa tegemezi na kuwekeza zaidi kwenye biashara ya resources tulizonazo? Kazi ni kuweza kufanya watanzania wengi wawe wazalishaji wa vitu vya kibiashara na waweze kunufaika nazo.
Kwa hilo la lujitegemea Mama hana makosa. Yuko sahihi.
 
Back
Top Bottom