Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,936
- 4,347
Anawananga waHisani kwenye Royal Tour?
Yaani mtoza kodi alipe kodi?Yeye mshahara wake analipa kodi?
kuliko waliochukua benki za biashara?Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia watanzania kwa sasa wahisani hawaleti misaada nchini, wanataka biashara ili kugawana faida
Amesema kwa sababu hiyo ni lazima tujinyang'anye wenyewe ili kufadhili miradi ya nchi hii
Ameyasema hayo alipokuwa Tegeta akisalimia wananchi akiwa katika safari ya kuelekea Bagamoyo kutengeneza filamu ya kuitangaza Tanzania
===
RAIS SAMIA: MIKOPO INA RIBA KUBWA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mikopo ina riba kubwa na misaada imepungua, hivyo ni lazima wananchi kujichanga ili kujenga nchi
Amesema ni heri kuchukua mikopo kidogo kufadhili miradi mikubwa kama ya reli na umeme
Ameyasema hayo alipokuwa Zinga mkoani Pwani akielekea Bagamoyo
Kwahiyo mkopo wa Trillion 2 ni mdogo?Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia watanzania kwa sasa wahisani hawaleti misaada nchini, wanataka biashara ili kugawana faida
Amesema kwa sababu hiyo ni lazima tujinyang'anye wenyewe ili kufadhili miradi ya nchi hii
Ameyasema hayo alipokuwa Tegeta akisalimia wananchi akiwa katika safari ya kuelekea Bagamoyo kutengeneza filamu ya kuitangaza Tanzania
===
RAIS SAMIA: MIKOPO INA RIBA KUBWA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mikopo ina riba kubwa na misaada imepungua, hivyo ni lazima wananchi kujichanga ili kujenga nchi
Amesema ni heri kuchukua mikopo kidogo kufadhili miradi mikubwa kama ya reli na umeme
Ameyasema hayo alipokuwa Zinga mkoani Pwani akielekea Bagamoyo
CHADEMA inaongoza nchi?CHADEMA kuna demokrasia?
USSR
Anafurahia kuona wengine wanakatwa kodi kubwa na wakati yeye hatakiYaani mtoza kodi alipe kodi?
Hakuna kitu kama hicho
Tumfanye nini huyu mama Tozo?Anafurahia kuona wengine wanakatwa kodi kubwa na wakati yeye hataki
Hakuna kumuunga mkono ni katili snTumfanye nini huyu mama Tozo?
Unajua hata kipindi cha mwanzo cha utawala wa Magufuli watu walikuwa wanasema JK anaongoza nchi kutokea Msoga kwamba et Magufuli alikuwa kama remote tu, ila baadaye wajaachana hizo story hivyo na sasa itafika muda wataacha hizi story za sukuma gang.Halafu utasikia baadhi ya watu humu hawataki kukiri kuwa Samia ni kiongozi wa ajabu, wanataka makosa ya Samia yabebwe na watu wengine licha ya yeye mwenyewe kujipambanua kila mara
Utasikia " Tatizo kuna watu fulani serikali (Sukuma gang) ndo wanamharibia mama kwa wananchi"
Ukweli ni kwamba,hakuna cha kundi wala nini , ni yeye mwenyewe ndo master plan wa yote yanayoendelea.
Ifike mahalo watu tutoke kwenye denial mode, tukubali tu kuwa tuna miaka minne au tisa ya kuchakarika kwelikweli.
WaTanzania tuache tabia ya kupenda kuwa Tegemezi. Hakuna mtu anayemthamini masikini, hasa masikini asiyekuwa na ndoto ya kujikomboa katika hali yake. Wenyewe mmesikia mahela yaliyokusanywa kipindi hiki kifupi cha tozo za miamala ya simu. Tukijipanga tunaweza sio kusubiri hela za wafadhili tu, ambazo zinatolewa na masharti mengi - kama vile haki za mashoga nakadhalika. Marehemu JPM alisema mara nyingi - nchi hii siyo maskini. Serikali ikijipanga vizuri , matumizi mazuri ya pesa za serikali na kila mtanzania kulipa kodi- tutafika mbali. Nchi kama Denmark- wananchi wao wanalipa kodi kwa asilimia kubwa sana. Hapa kwetu ni asilimia ndogo sana ambao wanalipa kodi stahiki.Kwani wale wa Danish ambao ni wahisani wakubwa kabisa wanaofunga ubalozi wao nchini walitoa sababu gani? Sidhani kama hii kauli ina ukweli. Waseme tu hawawezi kufuata demokrasia. Wahisani wana masharti ambayo wanahofia yatawapoka madaraka na hivyo kunyang’anywa tonge mdomoni.
Wanaona ni bora kuendelea kukamua ng’ombe aliyekonda na wao waendelee na ma viete yao wakitafuna keki ya Taifa kwa kupokezana.
TumnyongeTumfanye nini huyu mama Tozo?
Mkuu unataka tuendelee kuwategemea wahisani mpaka lini?Kwani wale wa Danish ambao ni wahisani wakubwa kabisa wanaofunga ubalozi wao nchini walitoa sababu gani? Sidhani kama hii kauli ina ukweli. Waseme tu hawawezi kufuata demokrasia. Wahisani wana masharti ambayo wanahofia yatawapoka madaraka na hivyo kunyang’anywa tonge mdomoni.
Wanaona ni bora kuendelea kukamua ng’ombe aliyekonda na wao waendelee na ma viete yao wakitafuna keki ya Taifa kwa kupokezana.
Rais Samia Suluhu Hassan amewaambia watanzania kwa sasa wahisani hawaleti misaada nchini, wanataka biashara ili kugawana faida
Amesema kwa sababu hiyo ni lazima tujinyang'anye wenyewe ili kufadhili miradi ya nchi hii
Ameyasema hayo alipokuwa Tegeta akisalimia wananchi akiwa katika safari ya kuelekea Bagamoyo kutengeneza filamu ya kuitangaza Tanzania
===
RAIS SAMIA: MIKOPO INA RIBA KUBWA
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mikopo ina riba kubwa na misaada imepungua, hivyo ni lazima wananchi kujichanga ili kujenga nchi
Amesema ni heri kuchukua mikopo kidogo kufadhili miradi mikubwa kama ya reli na umeme
Ameyasema hayo alipokuwa Zinga mkoani Pwani akielekea Bagamoyo
Mkuu unataka tuendelee kuwategemea wahisani mpaka lini?
Kasi ya kuwaaminisha watanzania kuwa tozo zao ndio zinazojenga nchi ingeenda sambamba na kuwakemea watendaji wa serikali ambao ni wabadhirifu wa pesa za uma basi ingekuwa vyema sana.
Kwani kuna ubaya kama tukiacha kuwa tegemezi na kuwekeza zaidi kwenye biashara ya resources tulizonazo? Kazi ni kuweza kufanya watanzania wengi wawe wazalishaji wa vitu vya kibiashara na waweze kunufaika nazo.Kwani wale wa Danish ambao ni wahisani wakubwa kabisa wanaofunga ubalozi wao nchini walitoa sababu gani? Sidhani kama hii kauli ina ukweli. Waseme tu hawawezi kufuata demokrasia. Wahisani wana masharti ambayo wanahofia yatawapoka madaraka na hivyo kunyang’anywa tonge mdomoni.
Wanaona ni bora kuendelea kukamua ng’ombe aliyekonda na wao waendelee na ma viete yao wakitafuna keki ya Taifa kwa kupokezana.