Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,389
- 1,257
WanaJf,
Salaam!
Viongozi wa CCM wamewapa deko CDM katika maeneo yafuatayo:-
(a). Msigwa kusaidiwa fedha na kutolewa gerezani;
(b). Mbowe kutolewa gerezani na kufutiwa kesi;
(c). Lema kuvunja Sheria za nchi na kufutiwa kesi;
(d). Bawacha kumwalika Rais kwenye maadhimisho yatakayopambwa kwa bendera za CDM na yeye kuongozwa na itifaki za CDM siku hiyo;
Kwa mlolongo huu kile kideko cha CDM kitaigharimu CCM. Lkn pia tujiulize kwa nini SABAYA anasota gerezani wkt alitenda mengi yaliyoipa faida CCM!!! Kama mama ana roho ya huruma amwangalie SABAYA lkn pia asimudekeze CDM.
Msakila Kabende
Kakonko
Salaam!
Viongozi wa CCM wamewapa deko CDM katika maeneo yafuatayo:-
(a). Msigwa kusaidiwa fedha na kutolewa gerezani;
(b). Mbowe kutolewa gerezani na kufutiwa kesi;
(c). Lema kuvunja Sheria za nchi na kufutiwa kesi;
(d). Bawacha kumwalika Rais kwenye maadhimisho yatakayopambwa kwa bendera za CDM na yeye kuongozwa na itifaki za CDM siku hiyo;
Kwa mlolongo huu kile kideko cha CDM kitaigharimu CCM. Lkn pia tujiulize kwa nini SABAYA anasota gerezani wkt alitenda mengi yaliyoipa faida CCM!!! Kama mama ana roho ya huruma amwangalie SABAYA lkn pia asimudekeze CDM.
Msakila Kabende
Kakonko