Kwa aina ya watu aliowateua tangu ameingia madarakani. Kwa kauli zake dhidi ya Magufuli na kwa matendo yake ni ukweli ulio wazi Wananchi wanaona wamepoteza kuliko kupata.
Anayesema Awamu ya tano kulikuwa na Ufisadi na Anayesema Awamu ya sita ufisadi Umerudi nani anaaminika?
Mama Ulipojitenga na Magufuli ulifanya usaliti mkubwa. Dhambi hiyo ya ubaguzi na kuwa kinyume na bosi wako haitakuacha salama
Chutama
Anayesema Awamu ya tano kulikuwa na Ufisadi na Anayesema Awamu ya sita ufisadi Umerudi nani anaaminika?
Mama Ulipojitenga na Magufuli ulifanya usaliti mkubwa. Dhambi hiyo ya ubaguzi na kuwa kinyume na bosi wako haitakuacha salama
Chutama