The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Nawasalimu kwa jina la JMT..
Taarifa mpya ni kwamba Siku Rais wa JMT mh.Samia S.Hassan atashuhudia utiaji Saini wa Mkataba wa Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji yenye ukubwa wa hekta 95,000 wenye thamani ya TSH.Bil.400.
Tukio hilo litafanyika siku ya kilele cha Sikukuu ya Wakulima Nanenane 8/8/2022.Hii ni Katika kutekeleza Ajenda 10/30 ya Mapinduzi ya Kilimo Cha Biashara.👇
Taarifa mpya ni kwamba Siku Rais wa JMT mh.Samia S.Hassan atashuhudia utiaji Saini wa Mkataba wa Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji yenye ukubwa wa hekta 95,000 wenye thamani ya TSH.Bil.400.
Tukio hilo litafanyika siku ya kilele cha Sikukuu ya Wakulima Nanenane 8/8/2022.Hii ni Katika kutekeleza Ajenda 10/30 ya Mapinduzi ya Kilimo Cha Biashara.👇