denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Kulima sijaanza leo, suala la usimamizi sio lazima kila wakati niwe shambani, majirani wa mashamba yangu ni rafiki zangu na ni wasimamizi wangu pia, muhimu niwape vocha kila wakihitaji, mambo mengine wanamaliza wenyewe hata nikiwa mjini.Una mtaji? Utaweza kumudu usimamizi?
Siyo mnapiga pamba mjini halafu mnawaachia vibarua halafu wanatelekeza kazi.
Vijana wengi hampendi kukaa shamabani.