uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,424
- 1,966
Ili nao waingie kwenye mfumo wa kupigwa?Wakulima nao wameanza kuingizwa ktk mfumo wa hifadhi ya jamii,
Tembelea ofisini utapata maelezo zaidi
Kama let's say una wanachama 1000 wanalalamikia huduma mbovu,i.e hujawatoshereza kuhuduma,
na hao ni wafanyakazi,ambao kwa maneno yako umewaita mbumbumbu,je wakiingia wakulima
ambao most of them ni small scale farmers hao si ndo mtawapiga na kitu chenye ncha kali kichwani?
Ni vyema mboleshe huduma zenu kisha muongeze wateja,vinginevyo tutajua mnaongeza wigo wa upigaji.