Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,349
- 28,510
Rais Samia: "Ukiwa public figure usipoonekana lazima watu wajiulize"
Kwa kulijua hilo ulikuwepo ulazima ws sisi wananchi kujulishwa alipo mtumishi wetu ambaye hayupo kwenye nafasi hiyo kwa ajili yenu.
Tatizo linakuja mnapotuona sisi wananchi ni watu wadogo sana hatulazimiki kujua kiongozi alipo!
Makamu wa Rais anayo ofisi hivyo kuna wananchi huhitaji awahudumie yeye binafsi kutokana na mamlaka yake.
Kisa hiki cha kutoweka kimyakimya kwa Makamu wa Rais kinatokana na kutokutumika kwa katiba.
Nchi inaendeshwa bila katiba kila kiongozi anafanya atakavyo akiamini hakuna wakumfanya kitu isipokuwa rais tu!
Mheshimiwa Rais ikikupendeza tujulisheni alikokwenda Makamu wa Rais.
Kwa kulijua hilo ulikuwepo ulazima ws sisi wananchi kujulishwa alipo mtumishi wetu ambaye hayupo kwenye nafasi hiyo kwa ajili yenu.
Tatizo linakuja mnapotuona sisi wananchi ni watu wadogo sana hatulazimiki kujua kiongozi alipo!
Makamu wa Rais anayo ofisi hivyo kuna wananchi huhitaji awahudumie yeye binafsi kutokana na mamlaka yake.
Kisa hiki cha kutoweka kimyakimya kwa Makamu wa Rais kinatokana na kutokutumika kwa katiba.
Nchi inaendeshwa bila katiba kila kiongozi anafanya atakavyo akiamini hakuna wakumfanya kitu isipokuwa rais tu!
Mheshimiwa Rais ikikupendeza tujulisheni alikokwenda Makamu wa Rais.